Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka unatakiwa kuivaa si zaidi ya masaa manne.Nimetafuta mask kariakoo maduka ya dawa Jumla. Nimepata wanauza 1pc = 4,000 Tsh sawa na kilo 1 ya sukari. Mzalendo utachagua sukari au Mask
Aisee, masaa 8 inapaswa kuwa nazo 2 = 8,000 TZSKumbuka unatakiwa kuivaa si zaidi ya masaa manne.
Kumbuka kaburjni hakuna ujiNaskia mask moja inatumika kwa masaa matatu
Sihitaji Barakoa , corona ni kaugonjwa kadogo tuu
Nachukua sukari na kunywa uji naenda kupiga kazi
Kwa siku mtu anatakiwa kuvaa barakoa ngapiNimetafuta mask kariakoo maduka ya dawa Jumla. Nimepata wanauza 1pc = 4,000 Tsh sawa na kilo 1 ya sukari.
NB: Mzalendo utachagua sukari au Mask?
Zinaitwa N95 ila zikikauka unatakiwa uzi sanitizeHuku kanda ya Ziwa tunanunua kwa sh 2,500. Zile ambazo unaweza kufua, baada ya masaa 2 imekauka, unaweza kutumia tena
Mbona zimekaa kama sidilia vifuniko vya oteli za watoto na wababa!!!Aina za mask hizo, hiyo N95 unaweza kuifua ila baada ya kuifua unatakiwa ui sanitise..!View attachment 1420807
Daah! Kazi ipo, wewe huoni kua hiyo ni michoro sio picha halisi, kamanda!Mbona zimekaa kama sidilia vifuniko vya oteli za watoto na wababa!!!
Amani itawale kamanda milele daima.Daah! Kazi ipo, wewe huoni kua hiyo ni michoro sio picha halisi, kamanda!