nzaghamba
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,212
- 1,431
kama hutojali naomba tujuze ukanda upi ni mzuri kwa kilimo cha furusadi hizo na je makadirio ya mavuno ni kiasi gani kwa ekari moja na pia ni mda gani inachukua kuanzia kupanda hadi kuvunaMimi nililima sana mkuu,