Morogoro sehemu gan?Morogoro mpunga gunia debe 7 80,000
180k muongoHivi yule jamaa alieanzisha uzi wa gunia la mahindi kuwa 180k, yeye alisema yupo mkoa gani?
Nimependa sana uchambuzi wakoKwakweli mwaka huu ni balaa mfano kwa kilombeeo debe moja la maindi ni tsh elfu 13 wakati mwaka jana muda kama huu ilikuwa ni sh elf 7.
debe la mpunga ni tsh elfu 13 hadi 14 wakati mwaka jana mwezi june tulinunua tsh elf 5 hadi elf 6 na hapo kuna muindi(mfanyabiashara) yeye ananunua mpunga kwa kilo (kilo moja tsh 900).
Rais samia asipoingilia kati suala hili kwa kufunga mipaka tutarajie njaa kali saana maana na mwaka huu mvua haikunywsha ya uhakika.
Mchele supa tsh 2000.
sabuni ya kipande jamaa tsh 800.
Mafuta ya kula lita moja tsh elfu 7500.
Mafuta ya petrol tsh 3057.
Dah aiseeGunia la debe ngapi au kilo ngapi?
Debe 6Gunia la debe ngapi au kilo ngapi?
Sisi tuliolima tufurahia bei kuwa juu zaidi alafu wewe unataka mteremko?.Acha wakulima na sisi tuneemeke,tulivurugwa sana huko nyuma.Kwakweli mwaka huu ni balaa mfano kwa kilombeeo debe moja la maindi ni tsh elfu 13 wakati mwaka jana muda kama huu ilikuwa ni sh elf 7.
debe la mpunga ni tsh elfu 13 hadi 14 wakati mwaka jana mwezi june tulinunua tsh elf 5 hadi elf 6 na hapo kuna muindi(mfanyabiashara) yeye ananunua mpunga kwa kilo (kilo moja tsh 900).
Rais samia asipoingilia kati suala hili kwa kufunga mipaka tutarajie njaa kali saana maana na mwaka huu mvua haikunywsha ya uhakika.
Mchele supa tsh 2000.
sabuni ya kipande jamaa tsh 800.
Mafuta ya kula lita moja tsh elfu 7500.
Mafuta ya petrol tsh 3057.
Ni dakawa vijijini Mkuu!!Morogoro sehemu gan?