Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Nipo Iringa inavyoelekea mwaka huu Mahindi hayashikiki. Ikiwa ni kipindi cha mavuno(June -July), bei ya debe inacheza kati ya elfu 13 hadi 14. Lita ya mafuta ya alizeti ni kati ya 5000 na 5500. Mchele safi 2000. Lete updates ya huko uliko hali ipoje?