Kilombero buku??, inawezekana mnunuaji haja update taarifa za soko. Basi uza haraka sana maana itashuka aiseeMbaazi kilo buku Kilombero
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilombero buku??, inawezekana mnunuaji haja update taarifa za soko. Basi uza haraka sana maana itashuka aiseeMbaazi kilo buku Kilombero
Dah, aisee. Naona hali inazidi kuwa mbaya...kampuni bado haijaanza kununua hadi sasa...mambo si mazuri kwa kweliMasasi bei ya mbaazi Tsh 400 per kg.hiyo ni bei ya mawakala hapa mjini,hivyo ukiuzia porini itakuwa chini ya hapo.
Watafute export trading co.ltd, watakueleza wananunuaje??Kwa dar bei gani kwa kg wakuu?
Anayejua na wapi wananunua kwa DSM?
SawaWatafute export trading co.ltd, watakueleza wananunuaje??
Ngoja niwatafute nitakurudia kwa mawasiliano zaidiSawa
Kwa DSM wako sehemu gani?
OKNgoja niwatafute nitakurudia kwa mawasiliano zaidi
Tunasubir mawasiliano yao Mkuu.Ngoja niwatafute nitakurudia kwa mawasiliano zaidi
Ngwara je?Mbaazi bei juu, wakulima wameula sasa bei ni Tsh 2,000 hadi 2,500 kwa kilo moja.