Bei ya mbolea: Waziri Bashe amepotosha Bunge na kushangiliwa kwa kelele tu

Bei ya mbolea: Waziri Bashe amepotosha Bunge na kushangiliwa kwa kelele tu

Patriot

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2008
Posts
5,705
Reaction score
4,703
Nimetembelea ukurasa wa World Bank ambako Bashe alichota bei na kuzilinganisha na mwaka huu, 2022.

Kwa maoni yangu, Waziri huyu hafai au an ufahamu mdogo. Lakini pia naona bunge likishangilia kila mtu anayetumia kelele kujidai kutetea wananchi. Hapa Bashe alitumia kelele kutetea wakulima.

Ukurasa wa WB unaonesha bei ya mbolea kwa mwaka 2008 ilikuwa kubwa kuliko leo hii 2022. Lakini bei ya leo ni kubwa mara mbili madukani, kuliko bei ya 2008! Hata ukitumia thamani ya shilingi yetu, utaona shilingi yetu imepungua kwa asilimia kama 14 tu ukilinganisha na mwaka 2008!

Angalia graph ifuatayo:

Source: Fertilizer prices expected to remain higher for longer

fertilizer-prices.png
 
Tatizo linaanzia kwenye sifa ya ubunge na katiba yetu; kujua kusoma na kuandika. Yanayojadiliwa bungeni na kushangiliwa mengi ni michango duni tu. Kwa katiba rais analazimika kuteua wabunge ili kuwa mawaziri.

Kwa sifa duni za ubunge, ukitoa mawaziri zaidi ya 40 unajikuta waliobaki ni makapi tu wanaosubili kusifu jina la rais na kushangiliwa kwa kutaja jina la chama.

Mawaziri nao wanajikuta wanajiona kama watu wanaoelwa kuliko wabunge ukumbini. Ndo maana Bashe alianza kwa kumkumbusha Mpina kwamba alikuwa waziri. Anaamini ukiwa waziri una ufahamu sana, kumbe ni nonsense!

Angalia uelewa wa mawaziri wetu sasa. Hao unaowasikia: akina Bashe, Makamba, Katambi, Nchemba, nk. hakuna kitu zaidi ya habari za mitandaoni ambako wenzao hawaendi.

Nimeiangalia graph hiyo, nashindwa kuelewa kwa nini Bashe hakuielewa? Ni umbumbu wa aina fulani kwa waziri kupiga kelele kwa kutumia takwimu tofauti na zilizoko mtandaoni.
 
Unataka kusema nini? Maana kwa mujibu wa taarifa yako ni kwamba kuanzia mwaka 2020 bei ya mbolea imepanda kwa kiwango cha zaidi ya mara mbili ya miaka ya nyuma ukiacha 2018. Kwa hio ulitarajia wauzaji wauze kwa bei ya miaka miwili iliyopita wastani wa sh 50000 kwa 50kg.

Hebu fanya mpango wa kupitia vizuri hicho chanzo chako ukielewe halafu weka maelezo vizuri wapi kuna upotoshaji na dukani ilipaswa kuuzwa bei gani kwa mfuko wa 50kg.
 
Unataka kusema nini? Maana kwa mujibu wa taarifa yako ni kwamba kuanzia mwaka 2020 bei ya mbolea imepanda kwa kiwango cha zaidi ya mara mbili ya miaka ya nyuma ukiacha 2018. Kwa hio ulitarajia wauzaji wauze kwa bei ya miaka miwili iliyopita wastani wa sh 50000 kwa 50kg.
Unaona vizuri kweli? Hiyo graph ni ya interval ya miaka miwili miwili. Na hapo inaonyesha 2020 ilishuka zaidi na 2021 ilipaa sana. Sababu za waziri ni Vita ya Ukraine Ila 2021 hakukua na Vita
 
Tanzania tunapenda kuagiza kilakitu. Ilipaswa tuwe na viwanda vya kuzalisha mbolea humuhumu. Pia tuwe na viwanda vidogovidogo vya mbolea humuhumu. Pia tuwe na viwanda vya organic fertilizer humuhumu. Hata viwanda vidogovidogo vya organic fertilizer kutoka kwenye vinyesi vya wanyama na uchafu wa vyakula na uchafu mwingine. Hii akili ya kichuuzi na kuagizaagiza ndio imetufikisha hapa.

 
Shida ya Huyu dogo ni.....

Dharau za kihindi kisomali ( huwa anajiona ni bora kuliko wengine kwa sababu ya rangi sijui niseme ni mkaburu wa ndani)
Anaona ni msomiiii kwa sababu ya kizungu chake kilichopinda.

Anauma na kupuliza
In short walio wake hawajamgundus mpaka leo kuwa hamna kitu hapo ni game tu anacheza na akili za wasiojitambua
Wasomali Wahindi Waarabu tabia za dharau ndani ya motherland ni ya kwango kingine

Huyu ni mtu wa mishemishe hamna kitu hapo ni stori tu
Wajinga ndio waliwao

msii.. tafadhalini sana...
 
Unataka kusema nini? Maana kwa mujibu wa taarifa yako ni kwamba kuanzia mwaka 2020 bei ya mbolea imepanda kwa kiwango cha zaidi ya mara mbili ya miaka ya nyuma ukiacha 2018. Kwa hio ulitarajia wauzaji wauze kwa bei ya miaka miwili iliyopita wastani wa sh 50000 kwa 50kg...
Soma vizuri graph basi! Mimi naiona vizuri. Jiulize kwa nini 2008 bei ilikuwa sh. 50,000 kwa soko letu na leo hii ni 120,000. Usiiangalie graph kama mstari wa Korani au Biblia badala ya kuiangalia yote. Soma graph nzima badala ya kukata kipande kama Bashe. Halfu kumbuka ni kwa mt = metric tones!

Ningemsupport Bashe kama angesema sababu zote zinazoinua bei kwa kasi hivyo, aweke pembeni vita ya Ukraine maana bei ilipanda Kabla ya vita. Wasomi ndo tunavyojadili hivi, badala ya kumkumbusha muuliza swali eti aliwahi kuwa waziri, so what??
 
SIJAONA alipodanganya mpk sasa maana tukisoma hiyo graph haina tofauti na alichozungumza

Mh Bashe amesema bei ya mbolea imepanda kuanzia 2020,2021, 2022.

mwaka 2022 bei ni kubwa kuliko 2020 na ndiyo uhalisia.
Hata mimi nikiwa sijamaliza shule ningesema hivyo. Msaada tu, Angalia graph nzima badala ya kukata kipande kama Bashe.
 
SIJAONA alipodanganya mpk sasa maana tukisoma hiyo graph haina tofauti na alichozungumza

Mh Bashe amesema bei ya mbolea imepanda kuanzia 2020,2021, 2022.

mwaka 2022 bei ni kubwa kuliko 2020 na ndiyo uhalisia.
2020 hapo Bei ilianza kupanda au ilishuka zaidi?
 
Shida ya Huyu dogs ni.....
Dharau za kihindi kisomali ( huwa anajiona ni bora kuliko wengine kwa sababu ya rangi sijui niseme ni mkaburu wa ndani)
Anaona ni msomiiii kwa sababu ya kizungu chake kilichopindaaa
Anauma na kupuliza
In short walio wake hawajamgundus mpaka leo kuwa hamna kitu hapo ni game tu anacheza na akili za wasiojitambua
Wasomali Wahindi Waarabu tabia za dharau ndani ya motherland ni ya kwango kingine

Huyu ni mtu wa mishemishe hamna kitu hapo ni stori tu
Wajinga ndio waliwao

*** msii.. tafadhalini sana...
Mzee wa very Danger!! Kiingereza hakimtaki yeye anakilazimisha.
Unanikumbusha tabia za wasomali zinavyowapa shida wakiwa Southa Africa. Wao ni wabaguzi kikabila. sasa wakiwa SA wanakutana na wa sauzi waliopinda kwa ubaguzi wanawatia kibano!
 
Nimetembelea ukurasa wa World Bank ambako Bashe alichota bei na kuzilinganisha na mwaka huu, 2022.
Kwa maoni yangu, Waziri huyu hafai au an ufahamu mdogo. Lakini pia naona bunge likishangilia kila mtu anayetumia kelele kujidai kutetea wananchi...
Mkuu muwemnasikiluza vizur na kama huelewi uliza ila ninachokiona ni wewe kupotosha sio bashe
 
Unaona vizuri kweli? Hiyo graph ni ya interval ya miaka miwili miwili. Na hapo inaonyesha 2020 ilishuka zaidi na 2021 ilipaa sana. Sababu za waziri ni Vita ya Ukraine Ila 2021 hakukua na Vita
Nakuomba uelewe vizuri lugha, 2020 ndio ilikuwa imefikia chini kwa kiwango cha mwisho na kwa muonekano wa graph huo ndio ukawa mwanzo wa kuanza kupaa kwa kasi.

Tukiacha sababu za kisiasa, mbolea ilianza kupanda kipindi covid19 baada ya supply kupungua kutokana na lockdown wa nchi za watengenezaji. Kuongeza chumvi kwenye kidonda, warusi na wayukreini wakaanza vita. Na kibaya zaidi hizo nchi mbili zinatengeneza na kuuza duniani mbolea nyingi sana hasa Urea, kama ni mkulima au mfanyabiashara utakuwa unajua.

Sababu hizo mbili ndizo zikafanya ongeza bei maradufu kwa sababu watengenezaji ni wachache.
 
Unaona vizuri kweli? Hiyo graph ni ya interval ya miaka miwili miwili. Na hapo inaonyesha 2020 ilishuka zaidi na 2021 ilipaa sana. Sababu za waziri ni Vita ya Ukraine Ila 2021 hakukua na Vita
Uko sahihi Boss! NInaposoma maoni ya watu hapa naaza kuthibisha kwamba kumbe uelewa nchi hii uko chini sana. Yaani mtu hata hawezi kutafsiri graph moja tu! KIla mtu anaiangalia kwa kutumia maelezo ya Bashe badala ya uelewa wake.
 
Tuna mawaziri mizigo ndani ya nchi hii ambao hawajui hata majukumu yao kutwa kuleta vihoja badala ya hoja na wabunge walivyo mazuzu ni kushangilia tu Kama nyani akiwa kwenye shamba la mahindi
 
Tanzania tunapenda kuagiza kilakitu. Ilipaswa tuwe na viwanda vya kuzalisha mbolea humuhumu. Pia tuwe na viwanda vidogovidogo vya mbolea humuhumu. Pia tuwe na viwanda vya organic fertilizer humuhumu...
Tatizo tukiweka maviwanda mengi Nchini tutakuja haribu hali yetu ya hewa ya asili! (Air pollution)Bora tuagize tu!! Afyaa ni bora kuliko hayo maviwanda yako!!
 
Kwa hiyo ile shangilia shangilia yote kumbe tayari watu walimezeshwa horn speaker kuja kumalizia tu.
 
Tender ya manunizi ya mbolea yote imewekwa wazi kwa yule atayeweza kumpelekea Bashe nchi ambayo mbolea ipo bei chini.
Kachukue tender hiyo mkuu upige pesa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom