Bei ya mti mmoja aina ya Mitiki

Bei ya mti mmoja aina ya Mitiki

Fufua makaburi mkuuu.

Kuna mtu alinambia hekari moja unaweza kupata miti 600 kwa wastani.

Mti mmoja ukiuza kwa 200,000 maana yake kwa hekari anapata 120,000,000.

Assume umepiga hwkari tano tu na zimekubali vizuri.

Maana yake 120M zidisha mara tano = 6,000,000,000.

Kwa hiyo ukiwa na hekari zako 5 ukajikita na mitiki ukasubiri ndani ya miaka kadhaa basi 6bilions haukosi hasa kwa huko mbele na bei yake itakuwa imepanda.

NB : hizi ni tqarifa nimezisikia juzijuzi tu,kuna wakati wa nyuma kidogo nilisikia bei yake ina range baina ya 100,000 mpaka 150,000.

I hope kwa sasa itakuwa imepanda,ila na mimi nimesikia tu kwa wadau,sina uthibitisho wowote ule.

Lakini kila biashara ina hatari zake.
Ni milioni mia sita siyo bilioni sita.
 
Fufua makaburi mkuuu.

Kuna mtu alinambia hekari moja unaweza kupata miti 600 kwa wastani.

Mti mmoja ukiuza kwa 200,000 maana yake kwa hekari anapata 120,000,000.

Assume umepiga hwkari tano tu na zimekubali vizuri.

Maana yake 120M zidisha mara tano = 600,000,000.

Kwa hiyo ukiwa na hekari zako 5 ukajikita na mitiki ukasubiri ndani ya miaka kadhaa basi 600milions haukosi hasa kwa huko mbele na bei yake itakuwa imepanda.

NB : hizi ni tqarifa nimezisikia juzijuzi tu,kuna wakati wa nyuma kidogo nilisikia bei yake ina range baina ya 100,000 mpaka 150,000.

I hope kwa sasa itakuwa imepanda,ila na mimi nimesikia tu kwa wadau,sina uthibitisho wowote ule.

Lakini kila biashara ina hatari zak
Huu mkeka ni wakampuni za hapa Tanzania au njee kwa hiyo Bei 200000 na carrent Bei ikoje
 
Naomba kufahamishwa bei ya mti mmoja aina ya mitiki...

Natanguliza shukrani wakuu.
Mitiki unastawi kwenye ardhi ya Mkoa wa Kigoma, hasa wilayanya Kakonko?

Ni wapi nakoweza kupata miche yake?
 
Nimeshasema kwamba na mimi nimesikia na haikuniingia akilini japokuwa hiyo miti ina pesa kweli.

Ila wewe unavyofahamu ni bei ngapi mkuu ?
Nnayo mitiki yenye takriban miak 10 ipo mitiki elfu 2000 ipo morogoro naitji wanunuzi 0618222527
 
Back
Top Bottom