E Emoji06 Member Joined Jan 23, 2019 Posts 57 Reaction score 56 Sep 3, 2019 #1 wana JF poleni na majukumu. napenda kujua mzani wa duka la rejareja A.K.A duka la mangi huwa inauzwa kiasi gani cha pesa???
wana JF poleni na majukumu. napenda kujua mzani wa duka la rejareja A.K.A duka la mangi huwa inauzwa kiasi gani cha pesa???
Damidizzo JF-Expert Member Joined Apr 28, 2014 Posts 400 Reaction score 172 Sep 3, 2019 #2 H Emoji06 said: wana JF poleni na majukumu. napenda kujua mzani wa duka la rejareja A.K.A duka la mangi huwa inauzwa kiasi gani cha pesa??? Click to expand... Huku kwa akina mangi unauzwa 120 ule wa mawe na 65 ule wa saa. Inauzwa ikiwa imeshapigwa chapa za tra na wakala wa vipimo we ni kuingiza dukani tu na kuanza kazi kama haupo Moshi watakusaidia wengine.
H Emoji06 said: wana JF poleni na majukumu. napenda kujua mzani wa duka la rejareja A.K.A duka la mangi huwa inauzwa kiasi gani cha pesa??? Click to expand... Huku kwa akina mangi unauzwa 120 ule wa mawe na 65 ule wa saa. Inauzwa ikiwa imeshapigwa chapa za tra na wakala wa vipimo we ni kuingiza dukani tu na kuanza kazi kama haupo Moshi watakusaidia wengine.
Dividend JF-Expert Member Joined Jan 15, 2017 Posts 2,102 Reaction score 3,343 Sep 3, 2019 #3 Kuna mizani kuanzia elfu 70 hadi laki na themanini. Fuatilia unataka mizani ya aina gani