Bei ya Ng'ombe wa Maziwa

Bei ya Ng'ombe wa Maziwa

Bora ukafuga hata kitimoto endapo utakuwa mkiristo kuliko hao ngombe.(samahani)

usipowaogesha dawa na wao wakangatwa na kupe anayesababisha ugonjwa wa (ndagama) mwezi mmoja Ni mwingi Sana utaamka na mzoga.

wanahitaji matunzo ya Hali ya juu ili watoe faida unayoitaka wewe kinyume na hapo utakuwa umejiongezea majukumu yasiyo na msingi.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Watu wote wakiogopa changamoto, wakakimbilia ufugaji wa kitimoto changamoto ya soko nayo itasogea karibu !

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Naoma promo za Ng'ombe wanaotoka kwenye maeneo yenye baridi kama Rungwe, Tukuyu, Kituro
Vipi hawa N'gombe ukiwaleta kwenye sehemu za joto kama Dsm na Mikoa ya Pwani Watakuwa productive kweli ??
Wanastahimili vizuri tu ng'ombe wengi wanasafirishwa kwenda dar na tunapata mrejesho mzuri kutoka kwa wadau
 
Back
Top Bottom