Bei ya Ng'ombe wa Maziwa

Watu wote wakiogopa changamoto, wakakimbilia ufugaji wa kitimoto changamoto ya soko nayo itasogea karibu !

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Naoma promo za Ng'ombe wanaotoka kwenye maeneo yenye baridi kama Rungwe, Tukuyu, Kituro
Vipi hawa N'gombe ukiwaleta kwenye sehemu za joto kama Dsm na Mikoa ya Pwani Watakuwa productive kweli ??
 
Naoma promo za Ng'ombe wanaotoka kwenye maeneo yenye baridi kama Rungwe, Tukuyu, Kituro
Vipi hawa N'gombe ukiwaleta kwenye sehemu za joto kama Dsm na Mikoa ya Pwani Watakuwa productive kweli ??
Wanastahimili vizuri tu ng'ombe wengi wanasafirishwa kwenda dar na tunapata mrejesho mzuri kutoka kwa wadau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…