GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Heri ya Krismas na mwaka mpya!
Wiki ijayo nitakuwepo Kampala, na ninatarajia kuwepo huko kwa siku kadhaa!
Tafadhali mliopo huko, na hata kwingineko wenye "taarifa" mnisaidie yafuatayo:
1. Bei za nyumba za kulala wageni(za kawaida, siyo za kifari), zina kawaida ya kubadilika mwishoni mwa mwaka?
2. Usalama ukoje kwa nyumba za kawaida za kulala wageni hasa mwishoni mwa mwaka?
3. Naweza kutajiwa lodge za bei rahisi lakini salama kwa jiji la Kampala?
4. Nauli ya kutoka Mutukula hadi Kampala ni sh ngapi kwa sasa? Mara ya mwisho kusafiri pande hizo ilikuwa ni December 2023, nililipa Ush 30,000 kutoka Kampala hadi Mutukula. Kuna mabdaliko ya nauli?
5. Taarifa zingine zozote za kusaidia "will be appreciated"🙏🙏🙏
Wiki ijayo nitakuwepo Kampala, na ninatarajia kuwepo huko kwa siku kadhaa!
Tafadhali mliopo huko, na hata kwingineko wenye "taarifa" mnisaidie yafuatayo:
1. Bei za nyumba za kulala wageni(za kawaida, siyo za kifari), zina kawaida ya kubadilika mwishoni mwa mwaka?
2. Usalama ukoje kwa nyumba za kawaida za kulala wageni hasa mwishoni mwa mwaka?
3. Naweza kutajiwa lodge za bei rahisi lakini salama kwa jiji la Kampala?
4. Nauli ya kutoka Mutukula hadi Kampala ni sh ngapi kwa sasa? Mara ya mwisho kusafiri pande hizo ilikuwa ni December 2023, nililipa Ush 30,000 kutoka Kampala hadi Mutukula. Kuna mabdaliko ya nauli?
5. Taarifa zingine zozote za kusaidia "will be appreciated"🙏🙏🙏