Bei ya nyumba za kulala wageni Kampala zikoje kwa sasa?

Bei ya nyumba za kulala wageni Kampala zikoje kwa sasa?

Ila mimi nijuavyo chumba cha single (single bedroom) ni kile chumba ambacho ndani yake kutakuwa na kitanda cha wastani ambacho kinafaa kulaliwa na mtu mmoja na bado chumba hicho kinaweza kuwa self contained kama ni lodge ya kueleweka au hotel au kikawa siyo self contained kutegemea na ubora wa lodge. Na chumba cha double (double bedroom) ni chumba ambacho ndani yake kuna kitanda kikubwa cha kutosha kulala watu wawili au wakati mwingine ndani ya chumba hicho kunawekwa vitanda viwili tofauti. Si ajabu ukakuta hicho "chumba cha double" kwenye lodge za kawaida na hotelini zikawa self contained au siyo self contained kwenye hizi lodge za bei chee. Issue ya chumba kuwa single bedroom au double bedroom kiufupi inahusiana na ukubwa wa kitanda au idadi ya vitanda iliyomo ndani yake na haina uhusiano na self containment.
Sahihi kabisa kwa mtazamo wa kihoteli na kilodge. Au tuseme, kwa professional perception!
 
Back
Top Bottom