Wakujibwea45
Member
- Oct 8, 2021
- 62
- 52
Shukrani mkali35k mpaka 40k zaidi ya hapo unaibiwa
Na simu zao zipooHabari wana JF, nahitaji kujua bei nzuri an affordable ya Pasi kampuni ya PHILIPS. Nimejaribu kupitia uzi bei zina range 28k adi 40k ila nimepitia jiji Tz kule naona bei zake zina range 50k adi 65k sasa nashndwa kupata muafaka wa bei nisije nikaenda Dukani ni kapigwa. Kwa mtu anayejua chimbo la bei nzuri, pasi OG za PHILIPS Anisaidie.
Kwa bei ya jumla wanauza wapi mkuu?Bei ya jumla 20k, muuzaji rejareja akiongeza 10k akakuuzia 30k ni sawa tu
Kkoo ila kwa moja hawakuuziiKwa bei ya jumla wanauza wapi mkuu?
HaaaWe unataka pasi yanini? Tuanzie hapo.
anyooshe rohoWe unataka pasi yanini? Tuanzie hapo.
Nakazia35k mpaka 40k zaidi ya hapo unaibiwa
AnhaaaKkoo ila kwa moja hawakuuzii
Hawa si mawinga wameweka vitu online au hujui? Bei halisi haivuki 40 hio ndio OGnimepitia jiji Tz kule naona bei zake zina range 50k adi 65k
Naam ni kwl kabisa.Hiyo Philips ni pasi na nusu aisee nilinunua 2014 mpka leo hii inadunda huwa naenda kwa fundi kubadilisha waya tu
Oh kumbe, nilikuwa sifahamu hiloHawa si mawinga wameweka vitu online au hujui? Bei halisi haivuki 40 hio ndio OG
Dukani OG ni 40 na boksi lake ikiwa zaidi ya hapo toka nduki, used ndio unaweza kupata 20 mpaka 30Naam ni kwl kabisa.