Wakujibwea45
Member
- Oct 8, 2021
- 62
- 52
- Thread starter
- #41
Amelewa uyoOya punguza ukuaji sijui unaongelea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amelewa uyoOya punguza ukuaji sijui unaongelea nini?
mm yangu tangu 2008 kwa fundi ilienda mara moja tu.mpka leo inadundaHiyo Philips ni pasi na nusu aisee nilinunua 2014 mpka leo hii inadunda huwa naenda kwa fundi kubadilisha waya tu
Ndio uniambie original ina rangi gani na fake ina rangi gani ili nisijenunua fake nikidhani ni original!Unaweza kutofautisha rangi? Orange, Njano na Gold?
Kwa sasahivi 40k, Hizo pasi OG haziharibiki yangu ipo toka mwaka 2012 sijui hata Philips wanafanyaje biashara mana wametengeneza kitu hakiharibiki kabisa ili turudi dukani.
Ndio uniambie original ina rangi gani na fake ina rangi gani ili nisijenunua fake nikidhani ni original!
Kuna mtu ameelezea hili amesema OG ina Gold na fake ndo iyo njano au chungwaNdio uniambie original ina rangi gani na fake ina rangi gani ili nisijenunua fake nikidhani ni original!
True philips saiv imeuza jina kwenye consumer electronics wamefocus kwenye products za medicalKama ushawahi tumia ile OG Philips miaka ya 80's na 90's basi hizi zote za sasa utakubaliana nami ni mafamba tu...
Official websites za Philips ukitazama unakuta hizo model za pasi hazipo listed...
Kama tofauti ya majina hapo sawa! Hata rising wanayo pasi ambayo kwa shape unafanana na Philips ila imrandikwa Rising. Sasa Mimi nauliza ikiwa kuna zilizoandukwa Philips original na Philips fake nitatafautishaje Philips fake na Philips original?!Arboder pia ana pasi muonekano wake ni kama hizo za Philips, ukijichanganya tu usitazame logo au jina then imekula kwako...
OG ni Gold ile rangi iliyopo kwenye bendera yetu ya TaifaNdio uniambie original ina rangi gani na fake ina rangi gani ili nisijenunua fake nikidhani ni original!
Ahsante kwa ufafanuziZinakua na rangi kwenye ile sehemu ya kuongeza moto vimechorwa vimstari kwa rangi na Philips yenyewe neno limechorwa kwa rangi, rangi ya Gold yaan dhahabu
Sasa feki zinakua zimechorwa na rangi ya machungwa na rangi ya njano, akili kichwani mwako
Thanks. Nimeelewa.OG ni Gold ile rangi iliyopo kwenye bendera yetu ya Taifa
Fake ni Orange au Yellow
namimi nikuswalike unatuhakikishiaje kama Gold ndio OG na sio izo yellow au orange? isijekuwa kuna janjajanja za kibiashara.OG ni Gold ile rangi iliyopo kwenye bendera yetu ya Taifa
Fake ni Orange au Yellow
Warranty miezi 24 box lake lipo sealed na limekwelekeza hivyo na ndani utakuta kuna karatasi za jinsi ya kuitumia kabisa, full box kitu kipyaaaanamimi nikuswalike unatuhakikishiaje kama Gold ndio OG na sio izo yellow au orange? isijekuwa kuna janjajanja za kibiashara.
Hiyo sasa ni habari ndani ya habari !Og ni zile made in indonesia. Angalia huku nyuma ukiona made in china kimbia
Kupasi masomoWe unataka pasi yanini? Tuanzie hapo.