Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😃😀😁😆😅🤣😂😆😁😄😃😀Nilifika Ngara Na Kayanga Ukiwaona Hawafanani Na Utata Lakini Ukweli Ni Full WatataHao watu wa Ngara watata Sana. Sijuagi kwann
Hiyo ni bei ya ulanguzi kutokana na tatizo la uhaba wa Mafuta,Sasa itakuwaje na picha!? Ukitaka bei ya Serekali ndiyo unajibiwa kuwa hakuna mafuta,lakini ukikubali bei ya Ulanguzi unapewa Mzigo bila shida!!Hamna picha?
Teremkeni hapo kobero mkanunue petrol kwa bei poa ila diesel ni mziki kuipata kwa huko Burundi.Wilaya ya Ngara mkoani Kagera inakumbana na changamoto ya ukosefu wa bidhaa ambapo sasa lita moja ya Petrol inauzwa tsh 5000.
Wakati hayo yakijiri, mitambo ya kusuma maki imezimwa kwa siku tano sasa kutokana na upungufu wa umeme.
Kwa upande wa mafuta ya magari, vituo rasmi vya kuuza bidhaa hiyo havina petrol tangu juzi, hivyo wajanja wamechukua fursa hiyo kujineemesha.
Wafanyabiashara wajanja wameyafuata Burundi na kuyauza wilayani ngara kwa bei ya tsh 5000 kwa lita.
Wauzaji wa mafuta wanadai kuishiwa bidhaa hiyo wakidai yatafika jumapili wiki hii.
Aidha, mamlaka ya maji ya Mjini Ngara imetoa tangazo kupitia Radio kwizera kuwa haiwezi kusuma maji kutokana na umeme mdogo usio weza kusukuma mitambo hiyo
Kadhalika TANESCO kama kawaida hawajatoa taarifa ingawa inadaiwa kuwa kuna hitilafu katika mitambo yake
Mna-act very weird mmezoea mapigano ya msituni Kama ndugu zenu BurundiHiyo ni bei ya ulanguzi kutokana na tatizo la uhaba wa Mafuta,Sasa itakuwaje na picha!? Ukitaka bei ya Serekali ndiyo unajibiwa kuwa hakuna mafuta,lakini ukikubali bei ya Ulanguzi unapewa Mzigo bila shida!!
Bila kuisahau Murgwanza, mukanywampezi, muchinyiri-runzenze na mukagugoTeremkeni hapo kobero mkanunue petrol kwa bei poa ila diesel ni mziki kuipata kwa huko Burundi.
Mafuta yanapanda bei kuanzia jumatano ya terehe 6 hivyo ni watu wanafanya kutokuyauza kwa sasa ili faida iwe mara 2.
Poleni sana ndugu zangu wa ngara,benaco,shanga,rulenge na kabanga.