marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
ninayo mpya nilinunua mwezi huu mwanzoni.....TZS 1.7mln aina ya Epson
Inategemeana unataka ikoje na uko wapi. Km una mtu wa nje ya nchi anaweza kukutafutia kwa laki 5 mpya au hata chini kidogo.nashukuru sana mkuu kwa information.
inategemeana unataka ikoje na uko wapi. Km una mtu wa nje ya nchi anaweza kukutafutia kwa laki 5 mpya au hata chini kidogo.
kama hautakuwa na haraka hadi july mimi nikuchukulie Epson EB-S9 LCD kwa shillingi 900000 just cheki specification zake kwa google kama utaipenda ni pm