mchek @geoffrey_Jonathan Instagram, dogo yup fair, na kaz zake zinaelewekaaa I mean zipo standard
Naitaka kama hyo ya b12 kwa ajiri ya harusi yangu mwakani, bei gan mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naitaka kama hyo ya b12 kwa ajiri ya harusi yangu mwakani, bei gan mkuu
Mkuu kuna tatizo ukisema ni wewe mwenyewe? Anyway nimehisi tuila kuna huyu dogo naye yupo vizur aisee, anajitahid kwa kias fulan....." Geofrey Jonathan " ingawa hajulikan Sana'a lkn kaz zk zinaelewekaaa na zipo standard.... na bei Zak ni nafuuu kuanzia lak 3 na nusu, depend na package unayoitakaa....
kamchekin Instagram @geoffrey_jonathan
[emoji1] [emoji23]Bei ya suti kariakoo ni shilingi elfu kumi tu full, suruali na koti na tai.
Suti ya mtumba shilingi elfu kumi tu, koti na suruali, tena unaweza kupewa na tai kabisa.
Na hii ndio moja ya sababu ya watu wengi kufeli mitihani, usaili nk halafu wanalalamikia kuonewa.Bei gani mdau tutafikatu inachotakiwa itajwe bei,mambo ya India sijui marais yanatoka wapi,weka bei unayoijua hapa ndo jibu linalosubiriwa