Bei ya suti za Sheria Ngowi

Bei ya suti za Sheria Ngowi

ila kuna huyu dogo naye yupo vizur aisee, anajitahid kwa kias fulan....." Geofrey Jonathan " ingawa hajulikan Sana'a lkn kaz zk zinaelewekaaa na zipo standard.... na bei Zak ni nafuuu kuanzia lak 3 na nusu, depend na package unayoitakaa....

kamchekin Instagram @geoffrey_jonathan
Mkuu kuna tatizo ukisema ni wewe mwenyewe? Anyway nimehisi tu
 
kwa sheria ngowi ujipange kabisa usiende na hela za mawazo au mkanunue pale karume bei chee
 
Back
Top Bottom