Bei ya tango sokoni imekuwa kubwa

Bei ya tango sokoni imekuwa kubwa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Dar hapa bei ya tango sio poa

Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu

Matango Yana kazi nyingine huko Dar

Matango yanaadimika au be mkasi

Matango hayapendwi na watoto na watu wengi

Huwezi kula tango zaidi 1

Kwanini bei iwe kubwa hivi

Namalizia utafiti wangu wa kwanini tango linapanda bei, inawezekana Lina kazi nyingine

Nitaleta majibu majibu ya utafiti mwezi ujao
 
036f439d5680753300988df254000e45.jpg

Leejay49 realMamy
 
Dar hapa bei ya tango sio poa

Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu

Matango Yana kazi nyingine huko Dar

Matango yanaadimika au be mkasi

Matango hayapendwi na watoto na watu wengi

Huwezi kula tango zaidi 1

Kwanini bei iwe kubwa hivi

Namalizia utafiti wangu wa kwanini tango linapqnda bei, inawezekana Lina kazi nyingine

Nitaleta majibu majibu ya utafiti mwezi ujao
Watu wanatumia Tango kitungu maji na mboga na matunda mengine kurekebisha kiwango cha sukari,Presha n.k ni lazima liadimike
 
Back
Top Bottom