Watu wanatumia Tango kitungu maji na mboga na matunda mengine kurekebisha kiwango cha sukari,Presha n.k ni lazima liadimikeDar hapa bei ya tango sio poa
Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu
Matango Yana kazi nyingine huko Dar
Matango yanaadimika au be mkasi
Matango hayapendwi na watoto na watu wengi
Huwezi kula tango zaidi 1
Kwanini bei iwe kubwa hivi
Namalizia utafiti wangu wa kwanini tango linapqnda bei, inawezekana Lina kazi nyingine
Nitaleta majibu majibu ya utafiti mwezi ujao
Ngoja tusubiri majibu ya utafiti wake mkuu
Mwanaume unanunuaje tango ?Kwahy mtoa mada na ww unalilia tango?
Yani na ww unataka upewe tango?
Mtoa mada analitaka ana matumizi nalo π₯Mwanaume unanunuaje tango ?
Mtundu sana wewe π
Tena anashuhudia Hawezi kula tango zaidi ya moja.πMtoa mada analitaka ana matumizi nalo π₯