BEI YA UMEME IPUNGUE

BEI YA UMEME IPUNGUE

wemamzuri

Member
Joined
Jan 27, 2019
Posts
78
Reaction score
76
Baada ya Bwawa la umeme kukamilika tunaomba rekebisheni bei za umeme kwa watu wa kawaida. Sisi watu wa kawaida napendekeza unit 1 kwa tshs 100 bila ukomo. Au wekeni umeme kama mabando ya simu ili mtu awe na uhuru wa kuchagua maana kuna wakati mtu kuhitaji umeme mwingi kwa shughuli maalum. INAPASWA UMEME UWE RAHISI KWA MATUMIZI KAMA NISHATI SAFI HIVYO KUTUNZA MAZINGIRA. HUU NI WAKATI WA KIDITILALI HATA UPISHI KUNA MAJIKO YA KIDIGITALI SAFI. TUPUNGUZIENI BEI YA UMEME. UMEME SI ANASA.
 
Kwa nchi za ulimwengu wa tatu, umeme ni anasa! Na wakati ukiwasikiliza wenzetu wa ulimwengu wa kwanza; umeme ni nishati nafuu kama ilivyo kwa sisi tunaotumia kuni huku vijijini.
 
Bora tanesco wakaregulate bei zao kusiwe na mteja wa juu na mteja wa chini. Kuwe na bado za umeme ili kila mteja anunue unit anazotaka kwa matumizi yake
 
Back
Top Bottom