taarifa kutoka vyanzo vyangu vya kuaminika bei ya Umeme itaongezeka kwa asilimia 50 kuanzia mwezi wa kwanza.
Sababu inayotajwa ni gharama kubwa ya kuendesha shirika, kwa kiasi kikubwa bei hii huchangiwa na umeme ambao TANESCO inabidi inunue kutoka makampuni mengine.
My Take
Ingekua bora kama TANESCO wangejikita katika upunguza gharama zao za uendeshaji kwa kuzalisha wenyewe umeme wa bei nafuu kuliko kukimbilia tu kutupa mzigo kwa walaji
Sababu inayotajwa ni gharama kubwa ya kuendesha shirika, kwa kiasi kikubwa bei hii huchangiwa na umeme ambao TANESCO inabidi inunue kutoka makampuni mengine.
My Take
Ingekua bora kama TANESCO wangejikita katika upunguza gharama zao za uendeshaji kwa kuzalisha wenyewe umeme wa bei nafuu kuliko kukimbilia tu kutupa mzigo kwa walaji