Bei ya viazi mviringo tarime

Bei ya viazi mviringo tarime

napenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
485
Reaction score
90
Wadau naomba kufahamu bei ya viazi mviringo ya tarime, nataka nifahamu niiweke katika mpango wa kusafirisha kwenda mwanza, hivyo wenyeji wa tarime au wafanya biashara hiyo naomba wanisaidie
1.debe linauzwaje?
2.ktk gunia zinaingia debe ngapi?
3.usafiri wa gunia moja tsh ngapi?
4.debe lina makisio ya kg ngapi?
naomba msaada huu wadau.
asante
 
Back
Top Bottom