Bei ya vifaa vya ujenzi imepanda

Bei ya vifaa vya ujenzi imepanda

Mkuu upo mkoa gani? Dasalama huku cement ni 9,500 - 11,500 kutegemea na product name...
Nondo 14,500/=
Acha uwongo labda za wizi, bei halisi kwa daressalam, cement ya dangote ni 13000, na ya kisarawe ni tsh 12000. nondo zile za kusukia lenta ni 20,000, wakati bei ya awali ilikua 16,500
 
Nimesikitishwa sana na Bei vifaa vya Ujenzi Kupanda maradufu

Cement iliyokuwa Elfu 16,000 mwezi Jana Sasa ni 18,000/=

Nondo iliyokuwa 13,000/= sasa ni 17,000/=

Bati iliyokuwa 16,000/=sasa ni 20,000/=
Mtaani kwako vifaa vya ujenzi vinagharama gani hebu tujuzane wana forum wenzangu.

Wafanyabiashara wanasema,wanadhani wiki Kesho itaongezeka tena.
Sikuhizi neno maradufu lina maana mpya eh?
 
Acha uwongo labda za wizi, bei halisi kwa daressalam, cement ya dangote ni 13000, na ya kisarawe ni tsh 12000. nondo zile za kusukia lenta ni 20,000, wakati bei ya awali ilikua 16,500
Mimi nimenunua cement 12,000
Nondo 17,500
Kigamboni
 
Nimesikitishwa sana na Bei vifaa vya Ujenzi Kupanda maradufu

Cement iliyokuwa Elfu 16,000 mwezi Jana Sasa ni 18,000/=

Nondo iliyokuwa 13,000/= sasa ni 17,000/=

Bati iliyokuwa 16,000/=sasa ni 20,000/=
Mtaani kwako vifaa vya ujenzi vinagharama gani hebu tujuzane wana forum wenzangu.

Wafanyabiashara wanasema,wanadhani wiki Kesho itaongezeka tena.
CCM mpya #Na bado
 
Mimi nimenunua cement 12,000
Nondo 17,500
Kigamboni
Kigamboni ipi mkuu? Maana Mimi pia nimefanya manunuzi kigamboni hiyo, nimesaka sehemu angalau kuanzia 18,500 Kwa nondo ya T12 nimekosa , vijibweni, Mwembe mdogo,mji mwema kote nimefika, bei ni elfu 20,
Niambie aisee
 
Nini maana ya "maradufu"? Tuanzie hapo kwanza
 
Kigamboni ipi mkuu? Maana Mimi pia nimefanya manunuzi kigamboni hiyo, nimesaka sehemu angalau kuanzia 18,500 Kwa nondo ya T12 nimekosa , vijibweni, Mwembe mdogo,mji mwema kote nimefika, bei ni elfu 20,
Niambie aisee
Kisiwani
 
Kigamboni ipi mkuu? Maana Mimi pia nimefanya manunuzi kigamboni hiyo, nimesaka sehemu angalau kuanzia 18,500 Kwa nondo ya T12 nimekosa , vijibweni, Mwembe mdogo,mji mwema kote nimefika, bei ni elfu 20,
Niambie aisee
Nimempigia jamaa alieniuzia,hana cement wiki sasa! Kuna uhaba mkubwa.
 
Hapa Serikali Ya Viwanda Na Vyombo mbalimbali Vianze Haraka Kuuzima Huu Uhuni Yasijekuwa Kama Kipindi Kile Sukari
Yaani Kila Kona Bidhaa Adimu Ili Ionekane Serikali Imeshindwa
 
Mkuu upo mkoa gani? Dasalama huku cement ni 9,500 - 11,500 kutegemea na product name...
Nondo 14,500/=
Mkuu hizi bei ni za Dar sehemu gani?
Nisaidie maana nina uhitaji wa nondo,bati
na simenti.Nami nipo dar,hii bei itanifaa sana.
 
Mkuu hizi bei ni za Dar sehemu gani?
Nisaidie maana nina uhitaji wa nondo,bati
na simenti.Nami nipo dar,hii bei itanifaa sana.
Kinyerezi kuna duka la jumla uuza hizo bei.... nitapita kesho nione bei ya sasa kwa uhakika zaido
 
Kama una invest pesa yote ya ndani kwenye miradi mikubwa mikubwa na wakandarasi wote ni wa nje unategemea nini?...kwan alivoambiwa akope..aliona wanaomwambia wajinga?..au wasaliti?...vitu vingine bana hadi kero,huyo wazir wa uchum na fedha ni mtaalamu?haoni hili?anashindwa sema?...hata kuachia ngazi aondoke na heshima yake anashindwa...its going down!
 
Mkuu hizi bei ni za Dar sehemu gani?
Nisaidie maana nina uhitaji wa nondo,bati
na simenti.Nami nipo dar,hii bei itanifaa sana.
Mkuu leo nmetembelea maduka mawili matatu ni kweli bei zimepaa ajabu...
Nondo 19000
Cement 12500 - 13000.
Kweli mambo yamebana
 
Back
Top Bottom