Bei za fremu Morogoro Mjini

Bei za fremu Morogoro Mjini

Mamy223

Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
6
Reaction score
0
Habari zenu,

Naomba kujua bei za fremu Morogoro Mjini mitaa ya karibu na soko kuu.

asante
 
Kwa hapo mjini kati sijajua, but maeneo ya huku pembezoni elf 30 unapata.
 
Hapo town fremu zinaanzia laki na nusu na nakuendelea, utapangishwa kwa masharti ya kulipa kodi mwaka mzima au miezi isiyopungua 6,

Kodi utakayolipa kwa mwaka asilimia kumi (ya pembeni utatakiwa kulipa TRA
 
Back
Top Bottom