Arusha kuna Huge motors,wanapatikana Usa river,wanatengeneza body nzuri sana
Inshort yutong mpaka itembee barabarani kiasi cha 300million kinahitajika.
Wazee ninakapesa fulani Mungu amenipatia lakini nataka kuwekeza kwenye biashara ya basi za abiria. Hivyo wapendwa wangu naomba ushauri
1. Bei za marcopolo ni TSHS ngapi? na bei ya YOUTONG ni kiasi gani?
2. Je ni basi gani ni imara ili nisiingie hasara likafa haraka?
3. Kama ni body za kuchonga bei zake zinaendaje na kampuni gani nzuri?
kwa wenye uzoefu je biashara ya mabasi inalipa?
mtaji wangu ni Milion 370. je inaweza nipatia mabasi mawili? maono yangu ni nilitaka kujaribu njia ya DAR -Arusha
Mkuu wekeza kwenye Ardhi! Hebu tafakari hili!; > ile gari > ale dereva > ale konda > ile serkali > ale mpiga debe > ale polisi barabarani > ule mwenyewe! Hao wote mna ubia ktk ulaji lakini gari ikiharibika haiwahusu! Usishangae baada ya muda unakula sound tu! Sikutishi kama unaweza kuweka tuta nakutakia kila la Heri!Wazee ninakapesa fulani Mungu amenipatia lakini nataka kuwekeza kwenye biashara ya basi za abiria. Hivyo wapendwa wangu naomba ushauri 1. Bei za marcopolo ni TSHS ngapi? na bei ya YOUTONG ni kiasi gani? 2. Je ni basi gani ni imara ili nisiingie hasara likafa haraka? 3. Kama ni body za kuchonga bei zake zinaendaje na kampuni gani nzuri? kwa wenye uzoefu je biashara ya mabasi inalipa? mtaji wangu ni Milion 370. je inaweza nipatia mabasi mawili? maono yangu ni nilitaka kujaribu njia ya DAR -Arusha
Wazee ninakapesa fulani Mungu amenipatia lakini nataka kuwekeza kwenye biashara ya basi za abiria. Hivyo wapendwa wangu naomba ushauri
1. Bei za marcopolo ni TSHS ngapi? na bei ya YOUTONG ni kiasi gani?
2. Je ni basi gani ni imara ili nisiingie hasara likafa haraka?
3. Kama ni body za kuchonga bei zake zinaendaje na kampuni gani nzuri?
kwa wenye uzoefu je biashara ya mabasi inalipa?
mtaji wangu ni Milion 370. je inaweza nipatia mabasi mawili? maono yangu ni nilitaka kujaribu njia ya DAR -Arusha
Marcopolo 700Mil
Youtong 250 - 300 mil
Marcedes 800 Mil
Nakushauri nunua youtong, hela yako itarudi mapema.
Kwa hiyo budget sidhan kama utaweza hii biashara kwasababu utatakiwa kulipa insuarance ambayo si ya kitoto, kuna vipesa vitakutoka hapo vingivingi.
Kwa hiyo pesa nakushauri ununue Min buses za TATA au EICHER kama ma4 hivi yanauzwa 70Mil. Upige rote za mbezi - kkoo au mbezi - mwenge. Kwa mwaka unarudisha hela yako na mtaji utakuwa mkubwa na utakuwa umepata experience ya jinsi ya kufanya biashara ya mabus.
Nenda manzese,sinza nunua plots
Mkuu kama hii mambo ndo bei gani ati? Halafu mkuu hapo bei si inategemea na chassis ni kampuni gani au marcopolo nao wana chassis zao?
Ningekuwa wewe ningeenda kenya wanatengeneza buses safi sana good example ni zile buses za leina tours
Kuna kampuni inaitwa Masters wanatengeneza very luxuary bodies na wanakuwekea engine ya scania 114, F330
Au Engine ya scania 124L,Bei zao kwa hela yako unaweza kupata bus hata 3 za maana.View attachment 132486