Bingwaman
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 549
- 288
Arusha kuna Huge motors,wanapatikana Usa river,wanatengeneza body nzuri sana
Hughes Motors ni wauzaji wa magari, na si watengenezaji wa bodi za mabasi. Hayo mabasi ya Nissan Diesel yanayoonekana katika eneo la kampuni hiyo hapo Usa River yameigizwa kutoka Kenya yakiwa na bodi zake zilizotengenezwa na kampuni mbalimbali nchini humo kama Master Fabricators, Malva, Banbros na mengineyo.