Bei za mabasi


au SUPER KUMBA NA SUPERBARAKA
 
Last edited by a moderator:
Bei 180m seat 54. FAW
 

Attachments

  • 1421768774326.jpg
    61 KB · Views: 748
  • 1421768811324.jpg
    95.3 KB · Views: 646
  • 1421768834606.jpg
    59.2 KB · Views: 657
Kuna rafik yangu alinunua bus moja sababu ndio mtaji wake ulipofikia,safari ya kwanza tu bus lilipata ajali,insurance wanamzungusha hadi leo
 
Chassis ya lori. Ndio ipo finishing stage. 36km tu. Brand new
 

kwa uzoefu wangu, basi zilizonzuri ni SCANIA, ingawa ni gharama sana.

scania moja si chini ya MIL 800 kaka, wakati mil 800 hizo unaweza pata Yotong 4,

kuhusu mabod ya kutengeneza check na BENBROS hawa jamaa wako vizuri sana kwenye mabod

Pia kama ulivyoshauriwa yotong hurudisha fedha haraka ingawa huchakaa mapema sana ukilinganisha na scania

hebu angalia magari ya SAIBABA, SCANDINAVIA ...hawa walikuwa wanatumia scania, na magali yao yalitumika muda mrefu

pia biashara ya mabasi bana usiwe na gari moja, utakufa pressa kaka, at least mawili au matatu, vinginevyo utanunua gari utakuwa umejinunulia ugonjwa bureeee!!

nakushari tafuta gari ndogo pia, MINBUS sio lazima zipige route kama daladala unaweza kutafuta kibali cha kwenda masafa marefu, au kuna magari aina ya fuso luxury sana utapata hata kwa mil 150-180. kisha unalipeleka dar tanga, au dar moro au dar iringa
 
Mkono wa 2 kwa rangi au? Basi ni mpya inajengwa dar coach
 
Kwa kifupi hakuna kampuni itakayo acha tumia mabasi ya kichina, yatakufa tuu.
Dar express ndo anakomaa kisa alikuwa wakala wa scania.

Nakumbuka ilikuwa nadhani ni kidia one from moshi to dar, it consumes about 50litres sijajua kwa scania
 
nunua kibasi kimmoja kikipata ajali na uchizi sawa.
 
mkuu jenga nyumba, apartment, au kigorofa na kumbi za sherehe mbalimbali halafu zikatie BIMA kisha pangisha hizo nyumba zitakutoa na hazitakupa mapresha na kufa haraka
 

Dar Coach Builders naona Dar Express ameanza kununua toka kwao
 
Kwa kifupi hakuna kampuni itakayo acha tumia mabasi ya kichina, yatakufa tuu.
Dar express ndo anakomaa kisa alikuwa wakala wa scania.

Nakumbuka ilikuwa nadhani ni kidia one from moshi to dar, it consumes about 50litres sijajua kwa scania

50litres za mafuta kwa bus?? Oh amazing...hapa mzee kamba za kupindukia.

Dar Express anatengeneza board za mabus Dar Coach
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…