Bei za mabasi

Huyu mpingauonevu yuko wapi aje atupe mrejesho wa biashara yake, maana ni mwaka sasa tangh alete hii thread
 
Last edited by a moderator:

Benbros ni waagizaji na wauzaji wa mabasi ya Yutong Tanzania, na si kampuni ya kujenga bodi za mabasi. Mabasi ya Yutong na mengine ya Kichina huagizwa yakiwa complete (na bodi zake) kutoka China na wateja hupigiwa rangi za kampuni zao na kuandikiwa majina hukohuko China kama wakipenda.
 

Kweli JF ni kisima cha hekima
 
Kaka nenda kaongee na DAR EPRESS au MOHAMMED TRANS akuuzie basi zake zilizoanza kuchoka, Piga Rangi uanze mdogo mdogo. Route za DAR -MTWARA zinalipa sana
 
Ushauri mzuri sana huu

Nakushauri kama unauzoefu wa magari wa kutosha simaanishi gari ya kutembelea usifanye biashara hiyo pesa yako haitarudi ...

Nakupa ushauri wa bure kajenge nyumba za bei rahisi vyumba viwili au vitatu self container kisha upangishe utapata pesa nyingi sana na huku dhamani ikipanda.Pia wekeza kwenye viwanja ambavyo vinapanda dhamani nawe utakuwa bilionea ndani ya miaka 2 tu.Mkumuke Mungu katika shughuli zako.
 
Kaka nenda kaongee na DAR EPRESS au MOHAMMED TRANS akuuzie basi zake zilizoanza kuchoka, Piga Rangi uanze mdogo mdogo. Route za DAR -MTWARA zinalipa sana

kwa hiyo umeona dar-mtwara ndio kwa kupeleka mikweche? kwa taarifa yako mtwara zinaenda yutong za hatari akienda na hiyo migari yake mikuu kuu atabebea kuku na mbuzi tu bora unge mshauri apige ruti ya dar-mahenge,dar-handeni,dar kilosa,dar-mlalo,mtae,mlola na bumbuli,dar-mpwapwa,kondoa,bahi,au apige masafa ya dar-chunya,mbozi,kyela,dar-katavi,mpanda,nkasi,sumbawanga.
 

labda umshauri kujenga nyumba na kuuza, lakini kujenga nyumba na kupangisha atazeeka.
 

itoe dar mpwapwa maana ni youtongu na eicher tu hakuna mikweche huku
 
wewe nenda Dar coach utapatiwa kila kitu.Tutong zikichoka utajuta.
 

Nasikia Zabibu zinalipa sana hapo Dodoma, kwa nini usimshauri afanye biashara hiyo???
 
Kanunueee scaniaa mendee used plus ushuru 120's M unufaike
 
180mil
 

Attachments

  • 1426317420121.jpg
    70.8 KB · Views: 562
  • 1426317436874.jpg
    66.6 KB · Views: 521
  • 1426317617334.jpg
    90.4 KB · Views: 496


Mkuu naamini sijachelewa.

1. Biashara ya mabasi ni Biashara Kichaa Ukiwa na basi Moja lazima Ufiliske maana litakuwa la mawazo.

2. Ushahuri wangu nunua Yuoton sijuhi bei yalke lakini nilikuw anasikia jama wanatoa Mkopo, kwahiyo kw ahesabu z aharaka haraka nadhani unaweza ukanunua moja na jingine wakakupa mkopo( hii ni katika ile ile kuwa ni lazima uwe na basi kuanzia Moja ili hela uione.

3. naamini kama unaishi Arusha utakuw aunayajua magari(fuso) yanaitwa Capricon/Raqueb yale ni ya kuchonga na bei yake haifiki 100Mil, namini unaweza kutengeneza na ukapata magari MANNE(4) kama yake na ni imara japo madogo kwa rooti ya Dar arusha haiwezekani.

4. Root ya Dar Arusha sio laizma maana root nyingini za wilayani na mikoani zina hela nyingi kuliko hiyo unayotaka kwenda kwanza ni ndefu na abiria ni wa ushindani mkubwa.

5. Kuna magari yanaitwa TATA wacha hizi za UDA, kuna kubwa zake, mfano zipo zinaitwa "K" express zinatoka Arusha kwenda Turiani kupitia Tanga (Handeni) nilishaongea na konda na dereva na njia huko ni ya Vumbi na mbaya lakini wansema yale magari TATA katengeneza imara sana na ni chini ya 100Mil bei yake na najua TATA wankopesha pia. so unaweza kupata Matatu na ukayapeleka porini yakafanya vizuri.


Conclusion:
1. Nunua GARI zaidi ya moja.
2. Nunu zile Fuso za kutengeneza kwa watani zetu hapo ni cheap na Imara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…