Bei za Mafuta mwezi Agosti 2023 kwa baadhi ya nchi za Afrika

Bei za Mafuta mwezi Agosti 2023 kwa baadhi ya nchi za Afrika

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Bei za Mafuta mwezi Agosti 2023 kwa baadhi ya nchi za Afrika
IMG-20230903-WA0020(1).jpg
 
Na huduma za kijamii zote tuletewe mkeka tujione nafasi yetu.
 
Unakuta Tanzania wameshukua takwimu ya bei ya chini zaidi kama bei ya Dar,halafu hizo Nchi zingine wametumia takwimu za bei ya juu.
Magufuli aliondoa usahihi wa takwimu Serijalini,kujua uhalisia wa hizo takwimu ni ngumu sana labda MTU aanze kuchunguza.
Tanzania sisi kwa kupika data kuanzia 2015 hatujambo na ninaona style bado inaendelea.
 
By the way kwa nini Uganda hawana Bandari mafuta ni 3,188 na Tz yenye bandari 3,199??
 
USA wanauza kwa gallon sio litter hio bei ipo kwa kipimo kipi?
 
Back
Top Bottom