Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
United Kingdom inapatikana ukanda upi hapa Africa?Bei za Mafuta mwezi Agosti 2023 kwa baadhi ya nchi za Afrika
View attachment 2737708
Hiyo inaitwa mjiandae kisaikolonjiaBei za Mafuta mwezi Agosti 2023 kwa baadhi ya nchi za Afrika
View attachment 2737708
Upande wa London pale UKUnited Kingdom inapatikana ukanda upi hapa Africa?
Mafuta Uk na ulaya ni ghali kwa sababu wao wanatumia ulra low suphur fuels ambazo ni gharama kutengeneza..Bei za Mafuta mwezi Agosti 2023 kwa baadhi ya nchi za Afrika
View attachment 2737708
Global prices🤣🤣🤣🤣
Karibu Sweden na United Kingdom katika umoja wa Afrika.
To be fair kwenye tangazo la EWURA hawajasema Afrika.
Wamekokotoa kwa lita ! Us gallon ni kama lita nne kasoro , haiwezi kuwa 1.1 usdUSA wanauza kwa gallon sio litter hio bei ipo kwa kipimo kipi?