mkuu, Attach pdf, ASAP.Bei za mafuta zimepanda tena, hii inaashiria kuendelea kuongezeka kwa gharama za maisha
Pengine kwenye soko la dunia bei imeongezeka Ila serikali isingeongeza kodi kwenye mafuta kwenye hii bajeti mpya basi Bei zingekuwa kidogo afadhali.
Sikujua kwa nini serikali iliongeza kodi kwenye mafuta ikiwa wanajua uchumi uliharibiwa na jnaga la corona.
View attachment 1878501View attachment 1878502View attachment 1878503View attachment 1878504
Naona mama ameanza vitukoNaona mama anaupiga mwingi.
View attachment 1878570
Huyuu mama atafikisha petrol 3000.View attachment 1878570
Mwamba GT umefurahiii. Na mbadooooππππ
Ule mwingi ulikuwa kipindi cha fungate tuu.. Sasa limeisha.. Hakika kazi iendelee.. Maa ulituingiza cha city vibaya mnooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yafike tu buku 3
Haitoshi fanya na roboMama anaupiga mwingi ,mikumi tena ,kazi iendelee!!
Ridhiwan sijui kama hatokula hapoNaona mama anaupiga mwingi.
View attachment 1878570
Huyuu mama atafikisha petrol 3000.View attachment 1878570
Tunatiliwa chumvi kwenye sukari...[emoji23][emoji23][emoji23]Naona mama anaupiga mwingi.
View attachment 1878570
Huyuu mama atafikisha petrol 3000.View attachment 1878570
Hahah!!Naona mama ameanza vituko
Kuna kodi ya pancha itaelekezwa huko π ni muda sasa wa raia kuamia kwenye Vespa rasmi kama Zenjiπ πItabidi turudi tu kwenye baiskeli! Labda na huko nako waamue kuirudisha tena ile kodi ya kipande ya miaka ya 90!!
Mama anaupiga mwingi sana yani,,,au nasema uongo ndugu zangu π
Naongelea appointment ya huyo mdada kwenye pichaHahah!!
Kwani mama ndio anapanga bei za mafuta?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiongozi nimecheka utadhani mwehu! "Maa ulituingiza cha city vibaya mnooo"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ule mwingi ulikuwa kipindi cha fungate tuu.. Sasa limeisha.. Hakika kazi iendelee.. Maa ulituingiza cha city vibaya mnooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Okay okay!!!Naongelea appointment ya huyo mdada kwenye picha