Bei za mafuta Zapanda tena

mkuu, Attach pdf, ASAP.
kama utaweza mda huu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mama anaupiga mwingi sana yani,,,au nasema uongo ndugu zangu πŸ˜…

Huo ndiyo UKWERIIII , Ewura waongeze bei ya wese akili zitukae sawa...J4 ya mwezi wa 9 inatakiwa igonge 2800 halafu wa 10 tunamaliza kona kwa 3000.
 
Ule mwingi ulikuwa kipindi cha fungate tuu.. Sasa limeisha.. Hakika kazi iendelee.. Maa ulituingiza cha city vibaya mnooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiongozi nimecheka utadhani mwehu! "Maa ulituingiza cha city vibaya mnooo"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wabongo tunajifanya matawi sana kutaka kutembelea mat@ko wakati wese linatushinda kununua...

Ni mwendo wa kurudi kwenye Vespa kama Wazenji/Wachina au baiskeli kama Waholanzi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…