Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Vespa a.k.a batanyweleWabongo tunajifanya matawi sana kutaka kutembelea mat@ko wakati wese linatushinda kununua...
Ni mwendo wa kurudi kwenye Vespa kama Wazenji/Wachina au baiskeli kama Waholanzi..
Mimi ni msema kweli daima.. Nilimpamba hasa hata kama kiroho kilikuwa kinanidunda lakini sikuacha kumpaka asali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiongozi nimecheka utadhani mwehu! "Maa ulituingiza cha city vibaya mnooo"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu Memento habari. Naomba utuwekee hiyo link hapa kama hutojali.Bei za mafuta zimepanda tena, hii inaashiria kuendelea kuongezeka kwa gharama za maisha
Pengine kwenye soko la dunia bei imeongezeka Ila serikali isingeongeza kodi kwenye mafuta kwenye hii bajeti mpya basi Bei zingekuwa kidogo afadhali.
Sikujua kwa nini serikali iliongeza kodi kwenye mafuta ikiwa wanajua uchumi uliharibiwa na jnaga la corona.
View attachment 1878501View attachment 1878502View attachment 1878503View attachment 1878504
[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe alikuwa anatuingiza cha city...hahaha watu mna maneno sana!Mimi ni msema kweli daima.. Nilimpamba hasa hata kama kiroho kilikuwa kinanidunda lakini sikuacha kumpaka asali
SASA NI MUDA WA[emoji374][emoji19][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe alikuwa anatuingiza cha city...hahaha watu mna maneno sana!
Vespa a.k.a batanywele
Mliipenda wenyewe..twende sawa..Dawa ni kucommit suicide na kuwaachia linchi lao watawale wapendavyo
Na pump zote za kujazia upepo lazima zipewe leseni na EWURA bila kusahau TPDC.Kuna kodi ya pancha itaelekezwa huko [emoji28] ni muda sasa wa raia kuamia kwenye Vespa rasmi kama Zenji[emoji28][emoji28]
Tunatiliwa chumvi kwenye sukari...[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona bei ndogo sana serikali itapata faida kweli??[emoji16]
Hahaha msenegali ๐ ๐ ๐Msenego nn wewe,acha usenego
Eeh sasa sahizi utachagua umpake samadi au mboji๐Mimi ni msema kweli daima.. Nilimpamba hasa hata kama kiroho kilikuwa kinanidunda lakini sikuacha kumpaka asali
Zinapandeje wakati sshv kuna gari za umeme....Bei za mafuta zimepanda tena, hii inaashiria kuendelea kuongezeka kwa gharama za maisha
Pengine kwenye soko la dunia bei imeongezeka Ila serikali isingeongeza kodi kwenye mafuta kwenye hii bajeti mpya basi Bei zingekuwa kidogo afadhali.
Sikujua kwa nini serikali iliongeza kodi kwenye mafuta ikiwa wanajua uchumi uliharibiwa na jnaga la corona.
View attachment 1878501View attachment 1878502View attachment 1878503View attachment 1878504
kwa kweli waongeze tuWaongeze tu. Ingekuwa 10,000/=@ liter ingependeza zaidi na serikali ungepanga mapato mengi zaidi.
Pia wao vigogo wajiongezee kasma x2.
waweke buku 10 kabisa sijui wanaogopa nnMbona bei ndogo sana serikali itapata faida kweli??[emoji16]
Huyu mama nchi imemshinda anaelekea kuharibu zaidi ya dikteta jiweUle mwingi ulikuwa kipindi cha fungate tuu.. Sasa limeisha.. Hakika kazi iendelee.. Maa ulituingiza cha city vibaya mnooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]