Bei za mafuta Zapanda tena

Mkuu Memento habari. Naomba utuwekee hiyo link hapa kama hutojali.
Ahsante
 
Vespa a.k.a batanywele

Kwamba ungeandika batavuzi JF ingelipunch hilo neno ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Huwa inaitwa Batavus lakini sisi wamatumbi si unajua tena kurahisisha lugha...
 
Zinapandeje wakati sshv kuna gari za umeme....
wametuzoea hawa....
 
Ule mwingi ulikuwa kipindi cha fungate tuu.. Sasa limeisha.. Hakika kazi iendelee.. Maa ulituingiza cha city vibaya mnooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu mama nchi imemshinda anaelekea kuharibu zaidi ya dikteta jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ