Bei za mafuta Zapanda tena

Bei za mafuta Zapanda tena

Dawa ni kucommit suicide na kuwaachia linchi lao watawale wapendavyo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mjeshi unakimbiaje uwanja wa Vita.
 
Ule mwingi ulikuwa kipindi cha fungate tuu.. Sasa limeisha.. Hakika kazi iendelee.. Maa ulituingiza cha city vibaya mnooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JIWE KWENYE KODI ALIKUWA MAKINI SANA
 
Mimi binafsi naungana na serikali katika kuhakikisha kila mtanzania anawajibika kulipa Kodi na kuliletea maendeleo taifa lake,hatuwezi kuwa taifa la watu wanaopenda kulalamika kwa kila kitu,kikubwa tozo husika zitumike kuleta maendeleo
 
Mimi binafsi naungana na serikali katika kuhakikisha kila mtanzania anawajubika kulipa Kodi na kukiletea maendeleo taifa lake,hatuwezi kuwa taifa la watu wanapenda kulalamika kwa kila kitu,kikubwa tozo husika zitumike kuleta maendeleo
Dah..
 
Dr wa uchumi aliambiwa hili kuwa bei zitapanda baada ya mafuta kupanda bei kwenye soko la dunia jibu alilitoa, hata mimi mwenye degree ya uchumi ya kuunga kwa super glue nilijua jamaa hajui anachoongea.
Aisee hii nchi watu wa madegree ambayo hayana maana.
Elimu ya makaratasi haijamsaidia Dr...hii serikali ya awamu hii hovyo kabisa maisha yanazidi kuwa magumu kwa kila kitu
 
Ule mwingi ulikuwa kipindi cha fungate tuu.. Sasa limeisha.. Hakika kazi iendelee.. Maa ulituingiza cha city vibaya mnooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuliingizwa cha mirembe kiongozi...!!
 
Pesa si zimejaa mitaani Kwa sasa!!

Acha yapande tu,
 
Ila imepanda sh 22 tu mkuu kwenye petroli
 
Anachotufanyia bimkubwa ni kama umuokota mdada mwenye make up usiku tena ukiwa na akili za pombe na za genye juu.. Asubuhi ukiamka ndio unaanza kupata picha kamili..

Maji tutaita mma mwaka huu.
 
Back
Top Bottom