Bei za magari

Zimeshuka au zimepanda?
Zimepanda boss kwa hiyo 300k na Kitu.

-Angalia hapo chini nimekuwekea sample ya gari ya Premio ya 2007 na 2008 kwa before kupanda na after.​

1.Kabla ya kupanda
- Gari ya 2008


-Gari ya 2007


2.Baada ya Kupanda
-Gari ya 2007

-Gari ya 2008
 
Grade3.5 na grade R mana yake nini hasa unapotaka nunua gari
 
KUAGIZA MWENYEWE INAWEZEKANA MAANA HAKIKA JAMAA WAKO SECURED SANA WANAKUTUMIA NA PRE FORMER INVOICE ILI UKALIPIE BANK NA MALIPO HASA YANAFANYIKA BANK
 
Mi nimeagiza mwenyewe...
Nikabagain mwenyewe....
Nikalipia kila kitu mwenyewe...
Natarajia kupokea ndinga mwenyewe...
Maana ni yangu mwenyewe....

Shida ya Watanzania wengi ni uoga na kutishana.
Mimi ni wewe labda tunatofautiana kwenye kampuni, mimi niliagiza kupitia autocom.

Watu waache kutishana hizi mambo zinawezekana .
 
Mi nimeagiza mwenyewe...
Nikabagain mwenyewe....
Nikalipia kila kitu mwenyewe...
Natarajia kupokea ndinga mwenyewe...
Maana ni yangu mwenyewe....

Shida ya Watanzania wengi ni uoga na kutishana.
Hongera mkuu mwenyewe kwa kufanya kila kitu mwenyewe
Naamini utauleta mrejesho mwenyewe kutuhamasisha na wengine kufanya kila kitu wenyewe.
Shukran🙏🙏🙏
 
then utamkabidhi agent unayemuamini atakutolea
"agent unayemuamini" utamjuaje na unampata wapi ?

Nishinde kwenye vijiwe vya ma agenti kuwasoma body language au inakuwaje ????

Nilidhani the whole point ni kufanya mchakato wa kitehama na kuondoa biashara za kiswahili za kuamini amini watu. Kama ndo hivyo tumkabidhi kazi dalali tunaemwanini! Might as well.
 
Lakini ni Uzi hatari sana ikiwa hutaki kuachana na baiskeli! Ukihamasika sana utaishia kumiliki na wewe usafiri wa miguu minne.
Ubarikiwe na Bwana mtumishi kwa kunitia moyo
Naenda ughaibuni hivi nazamia lakini potelea pote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…