Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Wewe unaleta umbumbumbu..hapa mada ni viingilio vya mechi ya MadridHujaiona Yanga wewe
Halafu naona jinsi unawa underestimate sana mashabiki wa Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaleta umbumbumbu..hapa mada ni viingilio vya mechi ya MadridHujaiona Yanga wewe
Halafu naona jinsi unawa underestimate sana mashabiki wa Yanga
Aisee kweliNdio maana pakaitwa Bernabeu kwa mabingwa wa muda wote wa CL
Anatafuta kick tuu huyo mbumbumbu,Yanga na Hersi wamemvuruga sana mpaka muda wote anaiwaza Yanga na Hersi.Wewe unaleta umbumbumbu..hapa mada ni viingilio vya mechi ya Madrid
😂😂😂😂😂😂😂 nimechekaWenzetu kwenye stage za maendeleo wao wapo Matured stage/Entertainment. Wakati sisi tuko stage ya kusaka nyoka
Kick atafute kwingine..anashindwa hata kuelewa mada inasemaje..Anatafuta kick tuu huyo mbumbumbu,Yanga na Hersi wamemvuruga sana mpaka muda wote anaiwaza Yanga na Hersi.
Kudadeki😊Mwanangu aisee, wazungu noma sana, zaman wakati naanza kuipenda basket sasa nkiwa naangalia nlikuwa naona zile front row seats mbona zimejaa kina Jay na famous people ikabid nichek tiketi aloooh Yan NBA regular season, the average courtside seat is around $2,000. Hatari sana masta
Kila siku ndege zimapeleka madini ulaya Sisi mama anaupiga mwingiHe! Hivi hawa wenzetu hizi hela hawana shida nazo?
Hela ndogo hyo Kwa ukubwa wa hyo gameHiyo Madrid haijapata kiongozi mwenye fadhila Kwa mashabiki zake kama Hersi.
Au tunaweza kusema kiongozi wa juu wa Madrid ni bahili kama MO asiyeweza kulipia tickets mashabiki wa Club yake anayoiongoza.
Hersi Kwa mapenzi yake Kwa mashabiki kwenye mechi kama hiyo angeifanya iwe free.
Na hivyo ndivyo Clubs kubwa zinavyo operates.
hiyo bei ya kawaida kabisa kwa timu kubwa za ulayaHiyo Madrid haijapata kiongozi mwenye fadhila Kwa mashabiki zake kama Hersi.
Au tunaweza kusema kiongozi wa juu wa Madrid ni bahili kama MO asiyeweza kulipia tickets mashabiki wa Club yake anayoiongoza.
Hersi Kwa mapenzi yake Kwa mashabiki kwenye mechi kama hiyo angeifanya iwe free.
Na hivyo ndivyo Clubs kubwa zinavyo operates.
Unaviongozi kama akina samia, makonda nk nk utaachaje kusema unachosema?Ni hela ya kawaida kwao.tatizo pesa YENU HAINA THAMANI