Evody kamgisha
Member
- Aug 4, 2011
- 97
- 108
Nimekuwa nikifatilia bei za vingamuzi mbalimbali hapa nchini nimegundua Azam ni moja ya vingamuzi vinavyouzwa kwa bei ya juu kabisa ukilinanisha na watoa huduma wengine nchini.
Nimejiuliza maswali mengi kwa nini bei zao ziko juu zaidi mpaka hadi sasa sijapata jibu la uhakikia.
Wananchi wanaumizwa sana na bei hizi ambazo hazilengi kumsaidia bali kumuumiza.
Ukiangalia kingamuzi kilichozinduliwa jana kinachotumia Antenna kitauzwa 96,000 pamoja na gharama za kufunga na utalazimika kununua bando ya 12500 unapofungiwa. Star Times kingamuzi cha Antenna 38,000 tu.
SAIDIENI WANANCHI NA SIO KUWAKOMOA
Nimejiuliza maswali mengi kwa nini bei zao ziko juu zaidi mpaka hadi sasa sijapata jibu la uhakikia.
Wananchi wanaumizwa sana na bei hizi ambazo hazilengi kumsaidia bali kumuumiza.
Ukiangalia kingamuzi kilichozinduliwa jana kinachotumia Antenna kitauzwa 96,000 pamoja na gharama za kufunga na utalazimika kununua bando ya 12500 unapofungiwa. Star Times kingamuzi cha Antenna 38,000 tu.
SAIDIENI WANANCHI NA SIO KUWAKOMOA