Bei za viwanja Singida Manispaa

Bei za viwanja Singida Manispaa

micind

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2015
Posts
377
Reaction score
980
Habari zenu wadau wa ujenzi.
Kama title inavyojielezea. Nahitaji kujenga hapa Singida mjini na mimi sio mwenyeji sana, naomba kuuliza kwa wakazi wa Singida bei za viwanja hapa Manispaa kwa wastani ni sh ngapi? Na pia ni maeneo Gani mazuri zaidi kwa kuweka makazi.

Nitashukuru sana nikipata michango yenu kabla madalali hawajanipiga na kitu kizito.
 
Kwa nini wataka Kujenga Singida??Unatarajia kukaa hapo Miaka mingapi?Na kuondoka utauza?Any way bei zinacheza Kati ya 1-3m.Ingia jiji.co.tz uperuzi bei pia.
 
Ukipata Kiwanja nistue kuna Mhandisi wa Ujenzi (Pia ni Contractor) atakuwa wa Msaada kama hutojali.
 
Kwa Singida manispaa tafuta kiwanja Gineri kata ya Mandewa ndo Pakishua
 
Back
Top Bottom