Bei za vyakula yashuka nchini

Bei za vyakula yashuka nchini

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Ndugu zangu leo nimestaajabu pale wife aliponiambia, mchele sasa hivi kg moja inaanzia 2400 kwa kilo hadi 3000.

Tofauti na hapo awali bei ilikuwa inaanzia 2800 hadi 3500 kwa kilo.

Mafuta ya kupikia nayo yameshuka kutoka 4500 kwa lita hadi 3800.

Maharage na mahindi nayo yamashuka kwa kiwango kikubwa.

Vipi ndugu zangu huko mlipo bei zipoje?
 
Ndugu zangu leo nimestaajabu pale wife aliponiambia, mchele sasa hivi kg moja inaanzia 2400 kwa kilo hadi 3000.

Tofauti na hapo awali bei ilikuwa inaanzia 2800 hadi 3500 kwa kilo.

Mafuta ya kupikia nayo yameshuka kutoka 4500 kwa lita hadi 3800.

Maharage na mahindi nayo yamashuka kwa kiwango kikubwa.

Vipi ndugu zangu huko mlipo bei zipoje?
Upo dsm ?
 
YANI NCHI TUNA ENEO KUBWA KWA KILIMO BADO HIZO BIDHAA TUNAZALISHA WENYEWE TUKITIZAMA NA BEI ZA MWAKA MMOJA AMA MIWILI NYUMA MACHAWA MLIVYO WAPUMBAVU MTAKUJA HAPA NA KUSEMA MAMA ANAUPIGA MWINGI
 
Ndugu zangu leo nimestaajabu pale wife aliponiambia, mchele sasa hivi kg moja inaanzia 2400 kwa kilo hadi 3000.

Tofauti na hapo awali bei ilikuwa inaanzia 2800 hadi 3500 kwa kilo.

Mafuta ya kupikia nayo yameshuka kutoka 4500 kwa lita hadi 3800.

Maharage na mahindi nayo yamashuka kwa kiwango kikubwa.

Vipi ndugu zangu huko mlipo bei zipoje?
Mafuta ya aina gani? Natumai alizeti haiingii hapa.

Kuhusu mchele nahisi washaanza kuvuna Huko Mji kasoro bahari.
 
Mafuta ya aina gani? Natumai alizeti haiingii hapa.

Kuhusu mchele nahisi washaanza kuvuna Huko Mji kasoro bahari.
Hata hayo ya alizeti yaneshuka pia nakumbuka miezi miwili iliyopita nilinunua 5 ltr kwa tsh. 37000
 
Ndugu zangu leo nimestaajabu pale wife aliponiambia, mchele sasa hivi kg moja inaanzia 2400 kwa kilo hadi 3000.

Tofauti na hapo awali bei ilikuwa inaanzia 2800 hadi 3500 kwa kilo.

Mafuta ya kupikia nayo yameshuka kutoka 4500 kwa lita hadi 3800.

Maharage na mahindi nayo yamashuka kwa kiwango kikubwa.

Vipi ndugu zangu huko mlipo bei zipoje?
ukiona wewe unacheka mwenzako analia kwa upande wa mazao anaelia mkulima 🤣
 
Back
Top Bottom