Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MI siulizagi bei napimiwa mzigo nnaotaka namuuliza jumla unanidai sh ngapi, imeisha hiyo. Mambo ya kukalkuleti mpaka bei ya nusu kibaba cha mafuta nikuikaribisha roho ya umaskini.Avunje ndoa gani huyo analala sebuleni kwa dada yake, atajua wapi bezi za vyakula.
🚮🚮MI siulizagi bei napimiwa mzigo nnaotaka namuuliza jumla unanidai sh ngapi, imeisha hiyo. Mambo ya kukalkuleti mpaka bei ya nusu kibaba cha mafuta nikuikaribisha roho ya umaskini.
Tumia ikiisha mnashinda njaa, kufunga sunna sio mpaka uuone mwezi
Yaan we data zako zinakuaga tofaut na Watu😁😁 itakua ulikua unanunuaga vitu wakati wa mkapa baada ya hapo ukawa unaletewa kila kitu na mme wakoLita Tano mafuta ya alizeti ni 17000, na mchele kilo ni 1500
Lita Tano mafuta ya alizeti ni 17000, na mchele kilo ni 1500
Mtaani kwetu mchele mpya unaanzia 2000 na wa zamani ndio 2800 na kuendelea. Mimi napenda mchele wa zamani ambao ni mgumu mpya home mara nyingi unapikwa na kuwa bokoNdugu zangu leo nimestaajabu pale wife aliponiambia, mchele sasa hivi kg moja inaanzia 2400 kwa kilo hadi 3000.
Tofauti na hapo awali bei ilikuwa inaanzia 2800 hadi 3500 kwa kilo.
Mafuta ya kupikia nayo yameshuka kutoka 4500 kwa lita hadi 3800.
Maharage na mahindi nayo yamashuka kwa kiwango kikubwa.
Vipi ndugu zangu huko mlipo bei zipoje?
Mpaji Mungu na huyu je? 🤣🤣Hivi tunapoongea kibaigwa alizeti lita 20 ni 45tsh. Na kaliua mchele kilo moja ni 1200 hadi 1300, kule ukanda wa mto malagarasi kigoma wao kilo moja ni 1000 hadi 1200 ,
Huyo anatania lkn siyo mara ya kwanza Bei zako Zina variation kubwa sana na watu wengnMpaji Mungu na huyu je? 🤣🤣
Njoo uyole mkuuHuyo anatania lkn siyo mara ya kwanza Bei zako Zina variation kubwa sana na watu wengn
Ngoja nipate pisi ya huko 🤣🤣🤣au nipe mdogo wakoNjoo uyole mkuu
Kachumbiwa na mmandaNgoja nipate pisi ya huko 🤣🤣🤣au nipe mdogo wako
Muulize vizuri huyo shemeji. Isije ikawa Kuna mtu anachangia Sasa ili usistuke anakuambia Bei zimeshuka.Ndugu zangu leo nimestaajabu pale wife aliponiambia, mchele sasa hivi kg moja inaanzia 2400 kwa kilo hadi 3000.
Tofauti na hapo awali bei ilikuwa inaanzia 2800 hadi 3500 kwa kilo.
Mafuta ya kupikia nayo yameshuka kutoka 4500 kwa lita hadi 3800.
Maharage na mahindi nayo yamashuka kwa kiwango kikubwa.
Vipi ndugu zangu huko mlipo bei zipoje?
Njoo uyole mkuu
Uchumba haina shida wee unganisha nyaya aamue yeye🤣Kachumbiwa na mmanda
Ukiamua tafuta vyakula vimeshuka bei
Kama mfanyabiashara ila kwa sisi ambao kwa mwaka hatumalizi gunia zima la mchele hapanaWakati kama huu unanunua mpunga gunia kadhaa, maharagwe, mbaazi, mahindi unanunua ile mifuko spesho isiopitisha hewa unatunza chakula walau cha kukufikisha mwakani, unabaki unapambana na vitu vidogovidogo, wengine wanalia wewe unawachek tu
Hongera zake SamiaNdugu zangu leo nimestaajabu pale wife aliponiambia, mchele sasa hivi kg moja inaanzia 2400 kwa kilo hadi 3000.
Tofauti na hapo awali bei ilikuwa inaanzia 2800 hadi 3500 kwa kilo.
Mafuta ya kupikia nayo yameshuka kutoka 4500 kwa lita hadi 3800.
Maharage na mahindi nayo yamashuka kwa kiwango kikubwa.
Vipi ndugu zangu huko mlipo bei zipoje?