So mkuu kidadari,bei sahihi maeneo jirani ni tsh?Duh kwa bei hiyo itabidi uzunguke sio kwamba hakuna...ila wengi wamejitahidi kuboresha nyumba zao ili kuongeza kodi
Kwa nyumba ya vyumba viwili na sebule ambayo ni self inaweza ikawa kiasi gani ?Duh kwa bei hiyo itabidi uzunguke sio kwamba hakuna...ila wengi wamejitahidi kuboresha nyumba zao ili kuongeza kodi
Dodoma ndio sehemu yenye vyumba bei juu mpka sehemu zisizo eleweka kuliko eneo lolote Tanzania hii, kaka yangu yupo makulu amepanga self 90k.Kwa nyumba ya vyumba viwili na sebule ambayo ni self inaweza ikawa kiasi gani ?
Acha ushamba huijui Arusha weweDodoma ndio sehemu yenye vyumba bei juu mpka sehemu zisizo eleweka kuliko eneo lolote Tanzania hii, kaka yangu yupo makulu amepanga self 90k.
Kwa bei ya 40k unaweza kubahatisha single room nje ya mji ntyuka kule tena vya kubahatisha sana.
Sasa ushamba wangu ni nini? Kutokuijua Arusha au?Acha ushamba huijui Arusha wewe
Nyumba za kupanga bei juu kuliko huko dom kwenuSasa ushamba wangu ni nini? Kutokuijua Arusha au?
Arusha ina nini cha ziada ambako siwezi pata kwenye majiji mengine?
150,000 chumba na sebule na inategemea na sehemu hadi laki 2!Kwa nyumba ya vyumba viwili na sebule ambayo ni self inaweza ikawa kiasi gani ?
Arusha nyumba nzuri bei juu dom za kawaida bei juu acha undezi mbuzi weweNyumba za kupanga bei juu kuliko huko dom kwenu
bora atulie t Dodom co poaDodoma ndio sehemu yenye vyumba bei juu mpka sehemu zisizo eleweka kuliko eneo lolote Tanzania hii, kaka yangu yupo makulu amepanga self 90k.
Kwa bei ya 40k unaweza kubahatisha single room nje ya mji ntyuka kule tena vya kubahatisha sana.
Huijui vizuri Chuga wewe mwanamamaArusha nyumba nzuri bei juu dom za kawaida bei juu acha undezi mbuzi wewe
Af Arusha wala vyumba sio bei ghali!! Dodoma vyumba ghali sanaSasa ushamba wangu ni nini? Kutokuijua Arusha au?
Arusha ina nini cha ziada ambako siwezi pata kwenye majiji mengine?
Huyo anapiga kelele unakuta dodoma hajawahi fikaAf Arusha wala vyumba sio bei ghali!! Dodoma vyumba ghali sana