Tarehe 22 Juni katika kituo elekezi cha kuzalisha mbegu za kutoka anga ya juu kilichoko wilayani Tongzhou mjini Beijing, China, aina mbalimbali za matunda na mboga zilipandwa kwa kutumia mbegu zilizopelekwa kwenye anga ya juu.
Ikilinganishwa na mbegu za ardhini, mbegu kutoka anga ya juu zinaweza kuwa na mabadiliko mengi ya kijeni yenye manufaa na hivyo kuzalisha mbegu bora.
Ikilinganishwa na mbegu za ardhini, mbegu kutoka anga ya juu zinaweza kuwa na mabadiliko mengi ya kijeni yenye manufaa na hivyo kuzalisha mbegu bora.