BEITO: Tunahitaji vijana wenye vipaji vya; Kusuka, Kupaka kucha rangi, Kufanya make-up na Kunyoa mitindo mbalimbali

BEITO: Tunahitaji vijana wenye vipaji vya; Kusuka, Kupaka kucha rangi, Kufanya make-up na Kunyoa mitindo mbalimbali

FAJES

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2017
Posts
720
Reaction score
644
O1sGYbJzPsp5qZrr7ocwJIthvmUWm_dJ7NfHN_OQtZnXQ5_VNxVu1-xc9fehOraGfaurkifKoIVjDNWanCqLmaYU6CDTVwEkkqsAp8mOxNMXWA1jwwf55n8w6TrhnPyAEMC4fjpo

TANGAZO LA KAZI TAREHE 23, DISEMBA 2020.

BEITO IINTERNATIONAL COMPANY LTD, tunajihusisha na shughuli za usafi na urembo. Ofisi zetu zipo Dar es Salaam, Wilaya ya Kinondoni, Mwenge, ITV.
  • Tunatangaza nadfasi za kazi kwa vijana wa kike na kiume wenye vipaji na ujuzi wa kutoa huduma zifuatazo Jijini Dar es Salaam.
UREMBO
  • Kipaji cha kusuka mitindo mbalimbali
  • Kipaji cha kunyoa mitindo aina mbalimbali
  • Kutengeneza na kupaka rangi kucha
  • Kufanya MAKE-UP
NAMNA TUNAVYOFANYA KAZI
  • Huduma zetu tunawafuata wateja mahali walipo hasa hasa majumbani kwao.
  • Muda mfupi ujao, wateja wetu watakuwa na uwezo wa kuomba huduma kwa njia za kidijitali (kupitia website na mobile- App) hivyo kwa baadae siyo sasa) watoa huduma wetu watatakiwa kuwa na Smartphone ili kupata acess ya kuwasiliana na Ofisi yetu na wateja wetu.
SIFA TUNAZOTARAJIA KUTOKA KWAKO
  • Uaminifu wako ni sifa kubwa zaidi tunayohitaji
  • Uwe na haiba na tabia njema isiyo na mashaka
  • Mchapakazi na mwenye kujituma
  • Msafi na Mtanashati
  • Mkweli, mcheshi na mkarimu
  • Uwe unaishi sehemu yoyote Dar es Salaam.
  • Ujue kusoma na kuandika
  • Ujue kutumia Smartphone
  • Mwenye uzoefu wa kuanzia angalau miezi 6 atapewa kipaumbele
NAMNA YA KUWASILISHA MAOMBI
  • Fika mwenyewe katika Ofisi zetu zilizopo Mwenge ITV, Bagamoyo road kwa ajili ya usaili mfupi na kuanza kazi maramoja.
  • Fika kati ya Jumatatu hadi Ijumaa; muda kuanzia saa 3 asbh - 10 Jioni.
Mawasiliano: + 255 742 417 677

Fika na nyaraka zifuatazo.

1.Barua ya maombi ya kazi, ikiainisha aina ya kazi unayohitaji kufanya, unaruhusiwa kuomba kufanya kazi zaidi ya moja kulingana na uwezo wako
Maombi yatumwe kwa;

Mkurugenzi Mtendaji,
BEITO International Company Ltd
S.L.P 391,
Dar es Salaam.

2. Barua ya Utambulisho kutoka Ofisi ya Mtaa

3. Uthibitisho kuwa haujawahi kuhusika na makosa ya jinai kutoka kituo cha Polisi unapoishi (Ni muhimu lakini siyo lazima).

4. Nakala ya kitambulisho cha Taifa (NIDA) au kitambulisho kingine kinachotambulika.
5. Barua ya mdhamini na mawasilino yake ( anaweza kuwa ndugu, mwenza au mzazi).
6. Cheti kama unacho (siyo lazima) chochote kinachoendana na aina ya kazi unayoomba.

MALIPO

  • Watoa huduma watakaokuwa wamejiajiri (Freelancers) watapata malipo ya aslimia 70 (70%) ya malipo ya kazi husika.

NOTE: Tangazo hili limetolewa kuanzia leo tarehe 23 Disemba, 2020. Mwisho wake itategemea na kiasi cha watoa huduma watakaopatikana kwa wakati huo.
 
oa0pA7OoxWW-DvYzl9BWid9cU8573IR7TA7yIVRS45umvrM6RBSVnV-cjaVbycEKiXLK4DWujA3sWrJjE2gASkXw9M1_s6fwqwgW4S5kWBfCTPDIibDk6dkP27K27MH5wkV-f_kU

TANGAZO LA KAZI TAREHE 17, DISEMBA 2020.

BEITO IINTERNATIONAL COMPANY LTD, tunajihusisha na shughuli za usafi na urembo. Ofisi zetu zipo Dar es Salaam, Wilaya ya Kinondoni, Mwenge, ITV.

Huduma tunazozitoa ni hizi zifuatazo;

USAFI
  • Usafi wa nyumbani wa kila namna kama vile kusafisha ndani na nje ya nyumba, usafi wa masofa, carpets, sehemu za jiko, vyoo/bafu.
  • Kufua nguo na kunyoosha
  • Usafi kwenye nyumba mpya kwa ajili ya kuhamia
  • Usafi kwenye mashule, hospitali, migahawa, makanisa, kumbi za harusi na starehe
  • Gardening
UREMBO
  • Kusuka mitindo aina zote
  • Kunyoa mitindo yote
  • Kutengeneza kucha
  • Kufanya MAKE-UP
  • Matunzo ya ngozi
NAMNA TUNAVYOFANYA KAZI
  • Huduma zetu tunawafuata wateja mahali walipo hasa hasa majumbani kwao.
  • Muda mfupi ujao, wateja wetu watakuwa na uwezo wa kuomba huduma kwa njia za kidijitali (kupitia website na mobile- App) hivyo kwa baadae siyo sasa) watoa huduma wetu watatakiwa kuwa na Smartphone ili kupata acess ya kuwasiliana na Ofisi yetu na wateja wetu.
SIFA TUNAZOTARAJIA KUTOKA KWAKO
  • Uaminifu wako ni sifa kubwa zaidi tunayohitaji
  • Uwe na haiba na tabia njema isiyo na mashaka
  • Mchapakazi na mwenye kujituma
  • Msafi na Mtanashati
  • Mkweli, mcheshi na mkarimu
  • Uwe unaishi sehemu yoyote Dar es Salaam.
  • Ujue kusoma na kuandika
  • Ujue kutumia Smartphone
  • Uwe na ujuzi au kipaji cha ususi
  • Mwenye uzoefu wa kuanzia angalau miezi 6 atapewa kipaumbele
  • Anayeishi maeneo yafuatayo atapewa kipaumbele zaidi;
  • Tegeta, Kawe, Mbezi Beach, Kinondoni, Makumbusho, Kigamboni, Tabata.
NAMNA YA KUWASILISHA MAOMBI
  • Fika mwenyewe katika Ofisi zetu zilizopo Mwenge ITV, Bagamoyo road kwa ajili ya usaili mfupi na kuanza kazi maramoja.
  • Fika kati ya Jumatatu hadi Ijumaa; muda kuanzia saa 3 asbh - 10 Jioni.
Mawasiliano: + 255 742 417 677

Fika na nyaraka zifuatazo.

1.Barua ya maombi ya kazi, ikiainisha aina ya kazi unayohitaji kufanya, unaruhusiwa kuomba kufanya kazi zaidi ya moja kulingana na uwezo wako
Maombi yatumwe kwa;

Mkurugenzi Mtendaji,
BEITO International Company Ltd
S.L.P 391,
Dar es Salaam.

2. Barua ya Utambulisho kutoka Ofisi ya Mtaa

3. Uthibitisho kuwa haujawahi kuhusika na makosa ya jinai kutoka kituo cha Polisi unapoishi (Ni muhimu lakini siyo lazima).

4. Nakala ya kitambulisho cha Taifa (NIDA) au kitambulisho kingine kinachotambulika.
5. Barua ya mdhamini na mawasilino yake ( anaweza kuwa ndugu, mwenza au mzazi).
6. Cheti kama unacho (siyo lazima) chochote kinachoendana na aina ya kazi unayoomba.

MALIPO
  • Watoa huduma wetu watafanya kazi kama Freelancers (kujiajiri) kwa kuwa na mkataba na kampuni ya BEITO International, isipokuwa watoa huduma wa usafi katika sehemu za Ofisi, mashule, vyuo, hospitali n.k ambako majukumu yao ni ya kila siku, wao wataajiriwa kama wafanyakazi wa kudumu.
  • Watoa huduma watakaokuwa wamejiajiri (Freelancers) watapata malipo ya aslimia 70 (70%) ya malipo ya kazi husika.
  • Wafanyakazi wa kudumu watalipwa mshahara kulingana na makubaliano na mwajiri.
NOTE: Tangazo hili limetolewa kuanzia leo tarehe 17 Disemba, 2020. Mwisho wake itategemea na kiasi cha watoa huduma watakaopatikana kwa wakati huo.
 
O1sGYbJzPsp5qZrr7ocwJIthvmUWm_dJ7NfHN_OQtZnXQ5_VNxVu1-xc9fehOraGfaurkifKoIVjDNWanCqLmaYU6CDTVwEkkqsAp8mOxNMXWA1jwwf55n8w6TrhnPyAEMC4fjpo

TANGAZO LA KAZI TAREHE 23, DISEMBA 2020.

BEITO IINTERNATIONAL COMPANY LTD, tunajihusisha na shughuli za usafi na urembo. Ofisi zetu zipo Dar es Salaam, Wilaya ya Kinondoni, Mwenge, ITV.
  • Tunatangaza nadfasi za kazi kwa vijana wa kike na kiume wenye vipaji na ujuzi wa kutoa huduma zifuatazo Jijini Dar es Salaam.
UREMBO
  • Kipaji cha kusuka mitindo mbalimbali
  • Kipaji cha kunyoa mitindo aina mbalimbali
  • Kutengeneza na kupaka rangi kucha
  • Kufanya MAKE-UP
NAMNA TUNAVYOFANYA KAZI
  • Huduma zetu tunawafuata wateja mahali walipo hasa hasa majumbani kwao.
  • Muda mfupi ujao, wateja wetu watakuwa na uwezo wa kuomba huduma kwa njia za kidijitali (kupitia website na mobile- App) hivyo kwa baadae siyo sasa) watoa huduma wetu watatakiwa kuwa na Smartphone ili kupata acess ya kuwasiliana na Ofisi yetu na wateja wetu.
SIFA TUNAZOTARAJIA KUTOKA KWAKO
  • Uaminifu wako ni sifa kubwa zaidi tunayohitaji
  • Uwe na haiba na tabia njema isiyo na mashaka
  • Mchapakazi na mwenye kujituma
  • Msafi na Mtanashati
  • Mkweli, mcheshi na mkarimu
  • Uwe unaishi sehemu yoyote Dar es Salaam.
  • Ujue kusoma na kuandika
  • Ujue kutumia Smartphone
  • Mwenye uzoefu wa kuanzia angalau miezi 6 atapewa kipaumbele
NAMNA YA KUWASILISHA MAOMBI
  • Fika mwenyewe katika Ofisi zetu zilizopo Mwenge ITV, Bagamoyo road kwa ajili ya usaili mfupi na kuanza kazi maramoja.
  • Fika kati ya Jumatatu hadi Ijumaa; muda kuanzia saa 3 asbh - 10 Jioni.
Mawasiliano: + 255 742 417 677

Fika na nyaraka zifuatazo.

1.Barua ya maombi ya kazi, ikiainisha aina ya kazi unayohitaji kufanya, unaruhusiwa kuomba kufanya kazi zaidi ya moja kulingana na uwezo wako
Maombi yatumwe kwa;

Mkurugenzi Mtendaji,
BEITO International Company Ltd
S.L.P 391,
Dar es Salaam.

2. Barua ya Utambulisho kutoka Ofisi ya Mtaa

3. Uthibitisho kuwa haujawahi kuhusika na makosa ya jinai kutoka kituo cha Polisi unapoishi (Ni muhimu lakini siyo lazima).

4. Nakala ya kitambulisho cha Taifa (NIDA) au kitambulisho kingine kinachotambulika.
5. Barua ya mdhamini na mawasilino yake ( anaweza kuwa ndugu, mwenza au mzazi).
6. Cheti kama unacho (siyo lazima) chochote kinachoendana na aina ya kazi unayoomba.

MALIPO

  • Watoa huduma watakaokuwa wamejiajiri (Freelancers) watapata malipo ya aslimia 70 (70%) ya malipo ya kazi husika.

NOTE: Tangazo hili limetolewa kuanzia leo tarehe 23 Disemba, 2020. Mwisho wake itategemea na kiasi cha watoa huduma watakaopatikana kwa wakati huo.
Mkuu nifafanulie vizuri hapo kwenye malipo asilimia 70% kwa walio jiajiri
 
Ukifanya kazi na sisi. Tunakuwa mdhamini wako kwa wateja. Hii ina maana kuwa, sisi kazi yetu ni kukutafutia wewe wateja. Wewe kazi yako ni kufanya kazi husika baada ya kupewa taarifa ya kazi kutoka kwa wateja kupitia kwetu.

Hiyo 70% inakuwa hivi. Kwa mfano: Bei ya kusuka ni Tsh 50,000/=. Wewe utachukuwa 35,000/= na sisi tutapata hiyo 15,000/= ambayo ni 30%.

Hali kadhalika kwenye Usafi. Kama unefanya kazi yenye gharama ya 50,000/=. Wewe utapata 35,000/ na Ofisi itapata 15,000/=.
 
Mkuu nifafanulie vizuri hapo kwenye malipo asilimia 70% kwa walio jiajiri
Ukifanya kazi na sisi. Tunakuwa mdhamini wako kwa wateja. Hii ina maana kuwa, sisi kazi yetu ni kukutafutia wewe wateja. Wewe kazi yako ni kufanya kazi husika baada ya kupewa taarifa ya kazi kutoka kwa wateja kupitia kwetu.

Hiyo 70% inakuwa hivi. Kwa mfano: Bei ya kusuka ni Tsh 50,000/=. Wewe utachukuwa 35,000/= na sisi tutapata hiyo 15,000/= ambayo ni 30%.

Hali kadhalika kwenye Usafi. Kama unefanya kazi yenye gharama ya 50,000/=. Wewe utapata 35,000/ na Ofisi itapata 15,000/=.
 
Back
Top Bottom