Beka au Dogo aslay nani wa kuibeba Yamoto band?

Damy Scotty

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
717
Reaction score
454
Baada ya ya moto band kufa, hawa vijana sote tunajua uwezo mkubwa waliokua nao kimuziki huku kila mmoja akiwa na upekee wake kuanzia kuimba mpaka wakiwa stejini.

Kwasasa ni wawili tu ndo ambao wametoa nyimbo rasmi wakiwa nje ya kundi, huku beka akiwa na vibao viwili tu na Aslay zaid ya vinne na kila mtu anajua nini kinaendelea mtaani juu ya hzo nyimbo, kitu knachopelekea kuwa na minong'ono kuwa nani mkali na ataendelea kuitunza heshimu ya kundi kama solo artist kat ya BEKA na ASLAY?

Nikionacho kat ya hawa wawili;-

-Beka ni mkali zaid ya Aslay ila knachombeba Aslay ni ukongwe ukimlinganisha na Beka, vinginevyo huyu Beka ana uwezo mkubwa sana kwa wenye sikio zuri la muziki watakubaliana na mimi.

Ni swala la muda tu, yote yatadhihirika.

Nini mtazamo wako juu ya hawa vijana wawili?

BEKA au ASLAY?
 
Beka ni machine ya umeme ambayo iko katika kijiji ambacho REA hakufika nA Aslay ni machine ya umeme ambayo kila siku iko kwa fundi. ..
Beka ni mkali sana ila amekosa support toka kwa fella,tale na WCB kwa ujumla.
Kura yangu kwa BEKA MAVOKO

Nakubali mkuu..uko sawa asee' muda ukfka raia wataelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…