Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
Hujakosea sana.. Umesahau tu alishacheza pia nafasi ya beki
Lenny, Mored,Wastara na Beya Simba hawakuwa mabeki mazee..Twaha hamidu "Noriega",beki wa Kati Ramadhani Lenny(Simba),Keneth Pius Mkapa(Yanga),Jimmy morredy (Tukuyu stars),Selemani Pembe(Sigara),Wastara baribari (Milambo),Beya simba (Pamba),Alphonce modest,(SIMBA) Deo Mkuki (simba) Moustafa hoza (Simba) Ngandu Ramadhani (Yanga).
Makipa...madata lubigisa,chochi kilemba,Makenzi Ramadhani,Rifat said,Mohamed mwameje,Juma Pondamali,Dhikiri Mchumila..
Beki kisiki aliye dumu sana ktk timu ya taifa alikuwa Mohammed Chuma. Huyu alikuwa chinga kama kumbukumbu zangu ziko sahihi alikuwa akichezea timu ya bandari Mtwara.
Paul John Masanja(yanga Fc) Na Victor Costa(simba) enzi zao hawa ilikuwa shughuli