junky
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 413
- 978
-Beki wa Klabu ya Kagera Sugar, Juma Nyoso aliyekuwa ameshikiliwa na jeshi la polisi mkoani kagera kwa kosa la kupiga na kujeruhi ameachiwa kwa dhamana leo asubuhi.
-Jeshi la polisi mkoa wa Kagera wamesema wanaendelea kupeleleza zaidi huku kaimu kamanda wa polisi wa mkoa wa Kagera Isack Msangi akifichua kuwa endapo ikibainika shabiki aliyepigwa na Nyoso alifanya kosa la jinai la kutukana hadharani atafikishwa mahakamani naye kujibu shitaka hilo.
-Moja kwa moja Nyoso amejiunga na timu yake ya Kagera kwa maandalizi ya mchezo wa jumamosi hii january 27 dhidi ya Lipuli Fc Mchezo utakaochezwa katika dimba la Kaitaba Bukoba. Pia klabu ya Kagera sugar imesema haitomwadhibu mchezaji huyo kwa kile alichokifanya.
-Pia Klabu ya Kagera imeandika barua kwenda kwa wamiliki wa uwanja wa Kaitaba, Chama cha soka mkoa wa Kagera na Bodi ya Ligi kuwasihi wasiwe wanaruhusu mashabiki kuingia kwenye uwanja baada ya mchezo kuisha.
NB: pongezi kwa uongozi wa Kagera Sugar
Hapa kazi tu[emoji23] [emoji23]
Mgonjwa anaendelea vizuri
-Jeshi la polisi mkoa wa Kagera wamesema wanaendelea kupeleleza zaidi huku kaimu kamanda wa polisi wa mkoa wa Kagera Isack Msangi akifichua kuwa endapo ikibainika shabiki aliyepigwa na Nyoso alifanya kosa la jinai la kutukana hadharani atafikishwa mahakamani naye kujibu shitaka hilo.
-Moja kwa moja Nyoso amejiunga na timu yake ya Kagera kwa maandalizi ya mchezo wa jumamosi hii january 27 dhidi ya Lipuli Fc Mchezo utakaochezwa katika dimba la Kaitaba Bukoba. Pia klabu ya Kagera sugar imesema haitomwadhibu mchezaji huyo kwa kile alichokifanya.
-Pia Klabu ya Kagera imeandika barua kwenda kwa wamiliki wa uwanja wa Kaitaba, Chama cha soka mkoa wa Kagera na Bodi ya Ligi kuwasihi wasiwe wanaruhusu mashabiki kuingia kwenye uwanja baada ya mchezo kuisha.
NB: pongezi kwa uongozi wa Kagera Sugar
Hapa kazi tu[emoji23] [emoji23]
Mgonjwa anaendelea vizuri