Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Mlinzi wa kati mwenye uwezo wa kukaba hadi upepo Dickson Job amesinya mkataba wa miaka miwili kuendelea kutwanga/kucheza Yanga,ni suala la muda kwa Yanga kutangaza taarifa zake, bwana mdogo bado ni wanjano na kijani hivyo bado atakua pale kwenye ukuta wa Yanga!!.
Ikimbukwe job alikuwa na kwenye Mazungumzo ya muda mrefu ya kusaini kandarasi mpya na waajili wake baada ya mkataba wa mwanzo kuwa ukingoni.
Ikimbukwe job alikuwa na kwenye Mazungumzo ya muda mrefu ya kusaini kandarasi mpya na waajili wake baada ya mkataba wa mwanzo kuwa ukingoni.