Beki Lameck Lawi amesaini Simba kwa ajili ya msimu wa 2024/2025

Kijiri ni average player ila ni mkamiaji...maarifa yake kwenye umaliziaji c mazuri Sana ....
Sometimes ana rafu za kijinga.

Hana tofauti Sana na mwaita Ngereza .....sema tu yeye ni mkamiaji sanaaa.

Ahsante nakaribisha kukosolewa.🙏
 
Kuna beki mmoja pale singida fountain gate fc ana rasta jina limenitoka ni MTU na nusu kama cjakosea anaitwa makame aiseeeeee
 
Kijiri ni average player ila ni mkamiaji...maarifa yake kwenye umaliziaji c mazuri Sana ....
Sometimes ana rafu za kijinga.

Hana tofauti Sana na mwaita Ngereza .....sema tu yeye ni mkamiaji sanaaa.

Ahsante nakaribisha kukosolewa.🙏
Nakualiana na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…