Beki Mpya Simba Aanguka Bafuni

Beki Mpya Simba Aanguka Bafuni

Hamad%2Bsafi4.jpg
 
Dah wachezaji wa Tanzania kwa kweli! Sijuhi kuna aina za vyakula tunakosa? Beki kama huyo anaweza kweli kumkaba mtu kama Ibrahimovic au Drogba alipokuwa kwenye ubora wake?
ulinganisho wako wacha niende nirudi
 
Dah wachezaji wa Tanzania kwa kweli! Sijuhi kuna aina za vyakula tunakosa? Beki kama huyo anaweza kweli kumkaba mtu kama Ibrahimovic au Drogba alipokuwa kwenye ubora wake?
atapata shavu ama hukusikia kule alikua anashindia mlo mmoja hadi wakandamana?
 
Mimi ni Simba damu.....
wewe kama unaona kupeleka wachezaji mwananyamala hospital ni sawa..haya
mimi naona kwa ukubwa wa timu ya Simba hata kama Mo hajapewa timu
wachezaji wanapaswa kuwa na insuarance ya matibabu ya hospitali yoyote ile Tz...
wachague wenyewe....sio kwenda kugombea vitanda huko mwananyamala hospital

basi hoja yako ingekuwa hadhi ya Simba na hospitali aliyoenda....na hoja siyo Uwekezaji wa MO.......hata hivyo kuna factors nyingi zinahusika hadi kupelekwa hapo
 
basi hoja yako ingekuwa hadhi ya Simba na hospitali aliyoenda....na hoja siyo Uwekezaji wa MO.......hata hivyo kuna factors nyingi zinahusika hadi kupelekwa hapo

Hata Yanga ya Manji wachezaji hawana health insurance
 
Back
Top Bottom