Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Beki wa Azam Yakubu Mohammed amemsifu mshambuliaji John Bocco na kumtakia maisha mema katika klabu yake ya Simba.
Jana Bocco alifunga bao la kideoni katika mchezo wa Ligi Kuu ambao Simba iliibugiza Mwadui mabao 3-0.
Yakubu alisema Bocco ni mpambanaji na anayeweza kutumia vizuri nafasi anazopata.
"Analijua goli muhimu viungo wa Simba wajue jinsi ya kumchezesha," alisema Yakubu ambaye alikuwepo uwanjani kushuhudia mchezo huo.
CHANZO: Mwananchi