Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
- Thread starter
- #21
Punguza sukari basi mwehu weweHaya mwenye akili ni wewe Hamza na miaka 12 kavaa zeji za kampuni ya betting 😂🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza sukari basi mwehu weweHaya mwenye akili ni wewe Hamza na miaka 12 kavaa zeji za kampuni ya betting 😂🤣
Wabongo wengi Akili n zero achana nae huyo asiyeelewa maana...Punguza sukari basi mwehu wewe
Noted mzeeWabongo wengi Akili n zero achana nae huyo asiyeelewa maana...
ila utasikia wana simba Yanga alibebwa ile game 🤣🤣Uyu ndie alishikilia bukta ya prince Dube mpaka akaichana wakati anapimwa umri.
Alitakiwa apewe Straight RED kwakua alikua mtu wa mwisho.
Makosa ya kibinadamu yaka mbeba.
Beki wa kati ambaye mzito kuliko gunia la misumari hali inayo msababishia majeruhi ya kila wakati hasa kwenye mechi zenye kasi.
Aisee anaonekana ni kinda kabisa yaani katoto haswa. Kwa miaka 12 hapo ni sahihi kabisa aisee wachezaji wa bongo wanajitahidi sana kuwa wakweli kwenye umri wanahitaji pongezi katika hilo.Leo ikiwa ni alhamisi basi ni siku ya TBT.
Huyu hapa beki kisiki anayeogopww na fowadi nzima ya Uto, Abdulrazak Hamza, hapa akiwa Mbeya City. Alikuwa na miaka 12 tu ila balaa lake lilikuwa la moto sana.
Kama hukufanikiwa kumuona Victor Costa akicheza basi wewe mtazame tu HamzaView attachment 3235591